Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,078
Naomba iwe hivyo. Ushindi muhimu sana leo
Kweli kabisa pointi -3 si haba mkuu 😀😀😀😀😀
Naomba iwe hivyo. Ushindi muhimu sana leo
Hahahaha najua kabisa siyo kweli si mlikua mnataka baba kai aanzie bench na ikawa kweli #LVGOurCoachForever
Sikutanii mtani yaani nilienda mahali nikaimalizia boxing day yangu vizuri Kula raha kweli kweli sikujishughulisha hata na live score ndo nimekuja kukumbuka saa 12, hapa ndo narudi zangu home nikalale kwa raha zangu ila nasikitika tu kushuka ............ #LVGOUT
Weee mtani msimu Mbichi huu kabisaaa.......Hongera naona leo umemuotea top of the league.
Nimekuja kumpa Pole Dada yangu everlenk Na Best wangu DonDonald Na Belo😊 enjoy Wine and Pie
Kwa raha zangu kwa huzuni tu tunapoteza nafasi hata sikujishughulisha kuangalia mechi..... #LVGOUT
Dada yangu kwema hapa?Ndiyo soka usife moyo pigana ili mwakani angalau mcheze YUROPA Ligi!Edwin Hazard atafunga kwa mara ya kwanza mkicheza keshoAkuje wapi wakati yeye mwenyewe kwake kuna msiba mzito mpka sasa dakika ya 72 keshachezea vitatu kavu......saint siyo kabisa!!!!
Akuje wapi wakati yeye mwenyewe kwake kuna msiba mzito mpka sasa dakika ya 72 keshachezea vitatu kavu......saint siyo kabisa!!!!
Asante sana. Msimu mpaka uishe mwili wangu utapungua sana
Ngoja nifanye utaratibu huo maana hali mbayaJiandae kisaikolojia pia wiki bado inaendelea hii