Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Thx Mkuu Gwamahala
everlenk pole sn my dear....... Haya ni mapito tu

Wengine tumeshazoea na tulikua tunasubiri taarifa ya bodi ya timu kuhusu mustakabali wa kocha wetu kipenzi José Mourinho...

Ligi ni ngumu na vita vya msimu huu si mchezo....
Ila nafikiri kiasi Fulani Mashabiki wa Man Utd midomo itapungua maana mlishajifanya nyie ndio mabingwa.

Cc RRONDO

Wenzako wa Arsenal FC walikuwa wameshaombea mechi siku tatu kabla. Ntuzu na Mentor naomba mje kumfariji binti huyu...

Yaani hamuwezi amini nililifahamu hilo toka mwanzo ila nikasema Ngoja niombe kama kawaida yangu tu, cha ajabu nina Amani kupita kiasi matokeo niliyakubali kwa mikono miwili kabisaaa na sijaumia kabisa, hapa focus kwa Everton hawa sitaki kabisa historia ijirudie yaani hawa wananiumiza kichwa ila tutashinda........ Wazima Ntuzu na Gwamahala ??
 
Last edited by a moderator:
Shem nimekukubali kwa maombi. mungu wako ni mungu wa ajabu....

Ahhh!! Shem kuna ndiyo na Hapana kwa Sir God......Ila nahisi atakuwa alikasirika maana wakati naomba nilikuwa nimeshika ile mbundimbundi ,bado nipo Kwenu Shem wangu.
 
Magazetini leo:

2Q==

 
Arsenal walituvia vizuri aseeee.
Hongera yao na fundisho kwetu.
Tuliwazoea sana hawa jamaa kiasi cha kuwa na uhakika 100% kuwafunga kila game.
 
Yaani hamuwezi amini nililifahamu hilo toka mwanzo ila nikasema Ngoja niombe kama kawaida yangu tu, cha ajabu nina Amani kupita kiasi matokeo niliyakubali kwa mikono miwili kabisaaa na sijaumia kabisa, hapa focus kwa Everton hawa sitaki kabisa historia ijirudie yaani hawa wananiumiza kichwa ila tutashinda........ Wazima Ntuzu na Gwamahala ??

Wazima kabisa sijui wewe....

Mi nilijua tu lazima mfungwe.... Na safari hii tena Everton anawapiga
 
Last edited by a moderator:
Wazima kabisa sijui wewe....

Mi nilijua tu lazima mfungwe.... Na safari hii tena Everton anawapiga

Nafurahi kuwa u mzima............nakuheshimu Ntuzu tafadhali aiseeee..........kama kawa point 3
 
Last edited by a moderator:
Heshima sana wanazi wa Manchester United.

Mechi ya jana yapo mambo matatu niliyoyaona ambayo kama LVG atapenda kuyafanyia kazi hakika nafasi ya kwanza au ya pili inatuhusu.

Mosi, Viungo Michael Carrick 34 na Bastian Schweinsteger 31 ni wachezaji wakubwa kwa umri si busara kuwapanga wote katika mechi moja.Kama ulitazama game vizuri bila kengeza la ushabiki Carrick na Bastian walizidiwa na wachezaji vijana Francis Coquelin,Alexis Sanchez na Santi Cazorla ambao walikuwa wameshika kiungo haswa huku viungo wa Manchester United wakipeleka pass taratibu sana ungedhani hawana haja ya ushindi.

Pili,Ni wakati muafaka sasa LVG akamweka bench Rooney na Depay.Kwa kweli Rooney kiwango chake kimezidi kushuka siku hadi siku mara nyingi awapo uwanjani timu inakuwa inacheza kama na wachezaji kumi uwanjani.hana mbio,hana uwezo wa kumiliki mipira,hana msaada timu inaposhambuliwa hana uwezo wa kufunga mabao kama zamani.

Tatu,Ni muda muafaka sasa LVG akamchezesha Ander Herrera nafasi ya Rooney anaweza kuisaidia timu zaidi ukimlinganisha na Rooney anayevuta mshahara mkubwa lakini hana mchango wa maana kama Anthony Martial ambaye alikuwa mchezaji pekee alionysha kiwango cha juu katika mchezo na Arsenal.
 
Atakayemuona cute b ampe salamu zangu.....
Sijamuona tokea JANA!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom