Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

12096259_1602728766434000_2111693683052806838_n.png




Khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Duuuh hicho kicheko kina umizaaaa
 
Nami nikupongeze kwa kuwa na moyo wa matumaini wa kiwango kisichopimika! Yaani mashabiki wa Gooners ni kama waTZ wanaoishabikia CCM...timu inawajaza matumaini, halafu inawatia maumivu balaa...kisha mzunguko unaendelea.



Lakini kwa kuwa huu ni mwaka wa mabadiliko, pengine kuna mabadiliko! Ngoja tuone.


Kumbe huwa kuna MWAKA wa mabadiliko?!
Mimi nilikuwa najua KILA SIKU ni SIKU ya MABADILIKO 😅😆
 
Kesho tutamsikia wenger akija apa akisifia kikosi chake kwamba kipo vizuri.. atajinadi kuwa haitaji straika coz kila mtu anafunga.. mashabiki watamfurahia, maisha yataendelea then atakuja kuchezea na bayern nje ndani, watashindwa kufuzu robo wataenda uropa then kampeni ya #wengerout itarudi tena.. maisha yataendelea..
Washabiki wa arsenal nawakubali mno.. mnaipenda timu yenu mnoo na ni wavumilivu sana n mnasahau mapema sana
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Ungesema haya maneno kabla ya mechi ningekusikiliza khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mtalia sana mwaka huu, ule mpira wa Brown envelopes kwisha kazi yake khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mlikuwa mnaimba hapa wiki moja iliyopita .. .. khe ke khe kheeeeeeeeeeee maumivu yakizidi mwone daktari wa JF.
Wacha fujo weweeeeeee!!!!! Prof.Wenger mwenyewe nakuona ulivyofurahiiiii ......
 
Last edited by a moderator:
Mentor et al. Kiukweli hiki kipigo hakijaniumiza....hadi nashangaa kwanini sijaumia...lakini sababu ni moja tu...nikilinganisha na msimu chini ya DM na msimu uliopita, naona mwanga mbele...timu ipo vizuri zaidi ya misimu miwili iliyopita...leo ilikuwa ajali kazini...

Angalau Gooners wasitishe kwa muda kampeni yao ya #WengerOut najua baada ya international break....Müller na Lewandoski lazima airudishe tena kampeni...

Cc: rubaman kashengo na hata Balantanda ambaye leo kafufuka😳

Teh....

Bala Is Always Here chifu....
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Nzi
acha kutudanganya wewe!' mliwakamata wakina nani?!! mchezo ulibadilika sababu Arse888 walisharidhika na matokeo yale kazi yao ikawa kuwazuia ndio mana mkaona kama mmecheza! ila nyie hamna kitu, huyo Schweinsteiger bora mumpeleke kwa mkopo akacheze muvi na schwarzenegger ..............

😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Halafu mnatuambia epl ligi ngumu!! Dogo kaja juzi tu na kasumbua Teh! Teh!

Ayew alishanaliza?

ukiangalia mchezaji mmoja au wawili huwezi pata uhalisia wa EPL, Martial ni mrefu na ana nguvu ni rahisi kushine epl. kama uliangalia mechi ya Arsenal mara kama mbili hivi Mertesacker alitolewa njiani push kidogo anaanguka. Dogo anaweza akakusanya watu watatu na akashindana nao nguvu na kuhold mpira.

ukitaka kuijua Epl waulize hawa
-Falcao
-Di maria
-Soldado
-Negredo
-Lamela
-paulinho
-Salah
-Gervinho
 
ukiangalia mchezaji mmoja au wawili huwezi pata uhalisia wa EPL, Martial ni mrefu na ana nguvu ni rahisi kushine epl. kama uliangalia mechi ya Arsenal mara kama mbili hivi Mertesacker alitolewa njiani push kidogo anaanguka. Dogo anaweza akakusanya watu watatu na akashindana nao nguvu na kuhold mpira.

ukitaka kuijua Epl waulize hawa
-Falcao
-Di maria
-Soldado
-Negredo
-Lamela
-paulinho
-Salah
-Gervinho


Huyu dogo sio wa kawaida,sio kama madogo wengine wanaochipukia...huyu ni special,lakini kwasababu washabiki wengi wamekaa kishabiki zaidi na si kimpira lazima wawe negative.
 
Nishasema hapa...LVG ataharibu tu hii timu,nashukuru sana ataondoka 2017!!!! Kocha gani huyu hajui kupanga timu kulingana na mechi??!! Timu huwa inashinda kwa juhudi za wachezaji tu wala sio kuwa ana mbinu kivile!! Hii timu angekuwa nayo SAF ingechukua ubingwa kilaini tu. Timu ina wachezaji wazuri kuliko ilivyokuwa timu ya Moyes lakini unafungwa na Arsenal kama timu ya eastern europe!!!
 
Nishasema hapa...LVG ataharibu tu hii timu,nashukuru sana ataondoka 2017!!!! Kocha gani huyu hajui kupanga timu kulingana na mechi??!! Timu huwa inashinda kwa juhudi za wachezaji tu wala sio kuwa ana mbinu kivile!! Hii timu angekuwa nayo SAF ingechukua ubingwa kilaini tu. Timu ina wachezaji wazuri kuliko ilivyokuwa timu ya Moyes lakini unafungwa na Arsenal kama timu ya eastern europe!!!
proNDO yani umeweka mapenzi kiasi umesahau kua kikosi chako kibovu na unakocha mbovu daah unazii huu sasa depay nae ni mkali!!? Roney yule yuko kwenye form!!? Aaaanh ukua unamaanisha herrera!! Any way ngoja tuone mana nabaki nacheka kua man wanakikosi kizuri.
 
Last edited by a moderator:
Nishasema hapa...LVG ataharibu tu hii timu,nashukuru sana ataondoka 2017!!!! Kocha gani huyu hajui kupanga timu kulingana na mechi??!! Timu huwa inashinda kwa juhudi za wachezaji tu wala sio kuwa ana mbinu kivile!! Hii timu angekuwa nayo SAF ingechukua ubingwa kilaini tu. Timu ina wachezaji wazuri kuliko ilivyokuwa timu ya Moyes lakini unafungwa na Arsenal kama timu ya eastern europe!!!
faida za lvg
juan mata kama winger
1. toka lvg aje mata amefunga magoli 17, hazard 14, yaya toure 14 (bila penalty) mata ndio midfield anaeongoza kwa mabao.
2. msimu huu mata ana magoli 5 na assist 6 tayari ni moja ya masuper star wetu sasa hv

blind kama beki
japo toka aumie shaw blind anapata tabu lakini mechi zote za mwanzo blind ameonyesha kiwango cha ajabu na tayari hadi sasa hivi ana goli 1 na assist 4 ten zote zikiwa ni goli la ufunguzi. mechi zote ambazo tulikuwa hatupati goli basi jamaa pasi zake zinapasua ngome ya upinzani.

usajili wake
tuwe wakweli tu bila lvg bastian machine ya kijerumani tungemskia tu kwenye redio asingekuja man u same kwa depay, na lvg kumuacha clyne aende liverpool na kumchukua darmian, kuamuacha pedro na kumsajili martial inaonesha jamaa habahatishi anajua anachofanya.


tuwe na uvumilivu kama somo kalipata jamaa sio mtu wa kung'ang'ania vitu sana, ataanza kurotate wachezaji ampumnzishe rooney, herrera akipona acheze nafasi yake na pia ajue bastian na carrick hawawez cheza pamoja last time kucheza pamoja tulifungwa na psg, morgan anatakiwa aanze na mmoja wao.
 
Back
Top Bottom