Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tafadhali tutunzieni hiyo bikra tuje ibandua wenyewe mabingwa, si vema kumkuta mchumba kashaharibiwa.
Pamoja na kufanya fitina kusingizia uwanja mbovu ili kuepuka kipigo,tayari tuna point 3 za OT.Mjitahidi kufukuzia nafasi ya Champs league
 
Pamoja na kufanya fitina kusingizia uwanja mbovu ili kuepuka kipigo,tayari tuna point 3 za OT.Mjitahidi kufukuzia nafasi ya Champs league



Hata wewe unajua kwamba tukifanya vibaya sana tutamaliza wa pili....tafadhali kumbuka kutunza bikira mpaka utakapokutana na mabingwa.
 
Gary Neville announces retirement

After almost TWO decades of playing for Man Utd finally, Mzee Mzima ameamua kutundika daruga. Of coz, recent he was disgusting (for most of us) the way he plays, lakini we have to credit him for being superb kwa miongo yote hii miwili. Kwa Liverpool na Arsenal fans nadhani this time hawatapata ile ishara ya finger ya katikati. Viva Gary Neville!
Man Utd defender Neville announces retirement - ESPN Soccernet

Gary+Neville+ajdoiWqbxB1m.jpg Gary.jpg Gary Neviile.jpg
 
Hata wewe unajua kwamba tukifanya vibaya sana tutamaliza wa pili....tafadhali kumbuka kutunza bikira mpaka utakapokutana na mabingwa.
mechi mpaka may kama mkipita kwenye fa cup....maana mechi na Reading iko march 1st.
 
article-1353261-0A15B4AE000005DC-767_468x318.jpg



Out in the cold: Patrice Evra has been banned since France's World Cup debacle
 
article-1353261-0A15B4AE000005DC-767_468x318.jpg



Out in the cold: Patrice Evra has been banned since France's World Cup debacle

Imekujaje hapa?, tena leo?, Bad/poor timing pal. Au unaanza JF Mind game zako ktk safar ya kuelekea wazee wazima akina sie kubeba ndoo May?,
Bad Looser...!:laugh::laugh::laugh:
 
Gary Neville announces retirement

After almost TWO decades of playing for Man Utd finally, Mzee Mzima ameamua kutundika daruga. Of coz, recent he was disgusting (for most of us) the way he plays, lakini we have to credit him for being superb kwa miongo yote hii miwili. Kwa Liverpool na Arsenal fans nadhani this time hawatapata ile ishara ya finger ya katikati. Viva Gary Neville!
Man Utd defender Neville announces retirement - ESPN Soccernet

View attachment 21902View attachment 21903View attachment 21904
Huyu anatakiwa kubaki hapo OT kuwafundisha vijana wawe na spirit kama alivyokuwa yeye
 
article-1353261-0A15B4AE000005DC-767_468x318.jpg



Out in the cold: Patrice Evra has been banned since France's World Cup debacle
Ndugu yangu Wacha ,tatizo la France lilikuwa ni hiyo FA yao sijui kwa nini walimuongezea mkataba Raymond Domenich ambaye alisababisha mgawanyiko mkubwa kwenye timu pamoja na kuwaacha wachezaji kama Mexes,Frey,Benzema,Nasri.Simlaumu Blanc kwa kumuacha Evra sababu ameambiwa na Waziri wa Michezo jamaa asirudi lakini ukweli Evra ni beki bora wa kushoto hapa duniani
 
Hata wewe unajua kwamba tukifanya vibaya sana tutamaliza wa pili....tafadhali kumbuka kutunza bikira mpaka utakapokutana na mabingwa.
Hiyo ndio tofauti ya Chelsea na Manu wewe unawaza kuondoa bikra mimi nawaza kupata ubingwa wa 19
 
I'm da fun of manchester united the theatre of dreams!!
 
Hongereni Man U.
Soka yenu kwa sasa haivutii kabisa lakini at the end of the day mnajua jinsi ya kutafuta ushindi. Najua mkishakaa hapo kileleni kung'olewa ni vigumu sana. Naamini msimu huu ni wenu. Lakini kama hakutakuwa na changes kwenye line up next season, basi mtaishia kusindikiza.
 
unbeaten? big bloody deal!

notingham forest did it, the gooners did it, etc ....so there's nothing new for the "manure" to brag about.

afterall there's a whole season ahead still and you have chelsea home & away, liverpool away, arsenal away.

come on manure!!
 
Back
Top Bottom