RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,772
- 129,524
mkuu umenena vizuri...huyu mzee dawa yake mpaka tufungwe Fans waanze kupiga kelele ndio atabadilika.
Rejea last season alivyokuwa anang'ang'ania formation yake yake ya 3-5-2 haikuworkout mpaka Giggs akamshauri.
Akimpanga herera na Mata,carrick kunakuwa na flow nzuri sana.
Anyway wacha tuone labda tutaona mabadiliko.
Messi: "Pedro deserves this for
everything he gave and still gives to
the club. Whatever he decides, we
wish him the best."
#wellcomepedro
Rafael on van Gaal: "I know he didn't like
but I don't know if that's because I am
Brazilian."
"I'm not the only one who he didn't
like. He told other players they could leave
I can't judge if he doesn't like Brazilians".
huyu mzee ana matatizo yake mkuu, sina imani nae tena seriously, valdes hajampa hata squad number, siku anaenda mazoezini anakuta namba yake imepekekwa huko U20, kwenye mechi dhidi ya spurs hakumpa hata ile suti official ya timu lakini Valdez ye anachukulia poa tu. mbali na yote hayo Valdez hajawahi kumsema vbaya huyu mzee japokua waandishi wanamuandama sana kwamba anamzungumziaje, any way utd my team & red is my blood.
#GGMU
N
LVG ni mkorofi inabidi umfahamu tangu alipotoka, RVP, Valdes,Rafael walishaambiwa wanaondoka ndio maana hata hawakwenda pre-season Marekani.Pamoja na yote still LVG alimsaidia Valdes baada ya kuondoka Barca alifeli vipimo vya afya Monaco still LVG alimuita akawa anafanya mazoezi Carington mpaka alivyokuwa fit ndio akampa mkataba
Alinikera zaidi ktk game moja hivi,sikumbuki Man Utd ilikuwa inacheza na nani,katika gemu hiyo Van-Persie alichezeshwa lakini hakuwa fiti,Rooney sikumbuki kama alicheza hiyo gemu,Falacao alikuwa fiti lakini hata benchi hakuwekwa badala yake aliwekwa Wilson. Bahati mbaya Van Persie hakurudi kipindi cha pili kwasababu ya majeruhi,Rooney alikuwa amechoka mno,ukiangalia benchi yupo Wilson tu wakati huo huo Man Utd ilikuwa imeshafungwa goli moja,Rooney hakuonyesha uhai na Wilson hakuingia,mzee akakomaa na Rooney wake aliyechoka mno mpaka mwisho,tulipoteza hiyo gemu wakati Falcao alikuwa fiti.Mzee kule benchi aliona bora ajaze mabeki watupu na Wilson peke yake.
mimi nilishasema siku nyingi huyu LVG anaharibu timu tu....! perfomance hakuna timu inasuasua tu na wachezaji wazuri aanao! anauza wachezaji hovyo...kila siku amekalia kusema falsafa falsafa falsafa.....