MosDef
JF-Expert Member
- Mar 13, 2014
- 8,420
- 17,183
Nilivo ona tu Chelsea kwenye hiyo listi yako sijaendelea kusoma utumbo wako, Chelsea unaiweka kwenye club kubwa?
kumbe wewe unatumia football domination kjua kama club in kubwa? sasa kwann tunabishana na mtu usiejua lolote?
kuhusu hiyo football domination inafanya club kuwa bora na sio kubwa, hebu jaribu kutumia baadhi ya hizi fact kujua club ipi ni Kubwa,
idadi ya makombe
fanbase
facilities za timu
financially (mapato ya timu)
kuwa top ranked haina maana kuwa we ni mkubwa ila ni bora. usipoelewa hata hapa utakua na matatizo yako tu wewe.
hyo paragraph ya mwisho ndio imedhihirisha hujui kitu, barca saiz inahela kuliko utd.
http://www.forbes.com/sites/forbesp...ounces-the-worlds-most-valuable-sports-teams/
BRENDAN RODGERS
"At this moment in time, Manchester City
are on a great project. They're a wonderful
club, I've seen it for myself a few years
ago when I spoke with them. I've got big
respect for what they're doing there.
"They're trying to build it the right way
and hopefully they'll get young players
through at this Sport City, all of that, but,
at this moment in time, you can't compare
as a club the size of the two.
"You've got Liverpool and Manchester
United, the two biggest clubs in this
country, and the rest of them are fighting
to be there over the next 20 years."
Lol, so kwa points zako hizo unataka unambie Arsenal are bigger than Bayern Munich and Chelsea?