2014-2015.
1. Barcelona
2. Madrid
3. Bayern Munch
4. Chelsea
5. Atletico Madrid.
Jua kutofautisha kati ya "most valuable/richest clubs" in the world na "biggest/top ranked club in the world"...
Kwa sasa 4 richest clubs in the world ni Madrid, Man utd, Barcelona , Arsenal, but Man utd huwez kuwaweza katika rank moja na Barcelona interms of ukubwa na mafanikio ya vikombe kwa sasa, na Arsenal ndo kabisa, huwez kuiweka katika rank moja na Chelsea or bayern na ATM kwa sasa..
Kwa sasa, Club yenye mafanikio makubwa dunian ni BARCELONA, interms of MAKOMBE MAKUBWA na FOOTBALL DOMINATION..now huwez ukanambia katika ranks za soccer Madrid are bigger than Barcelona, utanambia tu kuwa Man utd and Madrid ni MATAJIRI kuliko barca, but not BIGGER than barca katika FOOTBALL DOMINATION..
In Europe (katika UEFA competitions) ATLETICO MADRID wamefanya vizuri for the past 2-3 years kuliko any club ya UK..thats why katika UEFA RANKINGS za mwaka huu (APRIL), imeshika nafas ya 5 nyuma ya chelsea, huku manure ikishika number 10 na Arsenal number 9, but lets not 4get kuwa hiz ni clubs (manure and Arsenal) ni tajiri kuliko Chelsea, Bayern and ATM, but ni BIGGER katika soccer la ulaya kwa sasa zaidi ya chelsea, bayern and ATM IN TERMS OF DOMINATION??? the answer is NO..
Ranks za UEFA zinatoka kila round ndugu.. So sahiv ninapokwambia kuwa Barcelona ndo kila kitu namaamisha achievements za last season na sasa, WAMESHINDA MAKOMBE YOTE MAKUBWA, UCL, UEFA SUPER CUP, COPA and LA LIGA..but hawana pesa kama Man utd ambao wanastruggle kurud juu, na Madrid ambao wanategemea kuretain sehemu yao this season..
Nilivo ona tu Chelsea kwenye hiyo listi yako sijaendelea kusoma utumbo wako, Chelsea unaiweka kwenye club kubwa?
kumbe wewe unatumia football domination kjua kama club in kubwa? sasa kwann tunabishana na mtu usiejua lolote?
kuhusu hiyo football domination inafanya club kuwa bora na sio kubwa, hebu jaribu kutumia baadhi ya hizi fact kujua club ipi ni Kubwa,
idadi ya makombe
fanbase
facilities za timu
financially (mapato ya timu)
kuwa top ranked haina maana kuwa we ni mkubwa ila ni bora. usipoelewa hata hapa utakua na matatizo yako tu wewe.
hyo paragraph ya mwisho ndio imedhihirisha hujui kitu, barca saiz inahela kuliko utd.
http://www.forbes.com/sites/forbespr/2015/07/15/forbes-announces-the-worlds-most-valuable-sports-teams/
BRENDAN RODGERS
"At this moment in time, Manchester City
are on a great project. They're a wonderful
club, I've seen it for myself a few years
ago when I spoke with them. I've got big
respect for what they're doing there.
"They're trying to build it the right way
and hopefully they'll get young players
through at this Sport City, all of that, but,
at this moment in time, you can't compare
as a club the size of the two.
"You've got Liverpool and Manchester
United, the two biggest clubs in this
country, and the rest of them are fighting
to be there over the next 20 years."