Lee Cho in
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 941
- 693
Mkuu nimeshindwa kuweka link. naomba ni pm namba yako nikutumie whaatsap
mkuu najaribu kuku pm ila inaleta shida kidogo 0764459461
Mkuu nimeshindwa kuweka link. naomba ni pm namba yako nikutumie whaatsap
Sawa. Game za kwanza zinakuwa na pressure kubwa sana...pia tulikuwa na debutants wanne kwenye timu, hawa nao wanakuwa na pressure kuonyesha kuwa timu haikukosea kuwasajili..
Ebu tuone baada ya games 5 hivi, na kama Rojo akirudi na timu ikacheza wachezaji wanne katika backline, ndipo angalau tutapata mwanga.
Honestly...kwa perfomance ya juzi sijaona lolote jipya kwa timu yetu...ni yale yale tu, huyu LVG sijui kama atatuletea mafanikio yoyote!!!
Sawa. Game za kwanza zinakuwa na pressure kubwa sana...pia tulikuwa na debutants wanne kwenye timu, hawa nao wanakuwa na pressure kuonyesha kuwa timu haikukosea kuwasajili..
Ebu tuone baada ya games 5 hivi, na kama Rojo akirudi na timu ikacheza wachezaji wanne katika backline, ndipo angalau tutapata mwanga.
nashukuru kwa mwanzo mzuri katika EPL nadhan msimu huu man u maandaliz yako sawa tuna kila sababu kurejesha mataji