Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mwenzako anakataa kuwa hamjapaki bus leo, Chelsea walikuwa na possession 29% ndio lowest possession since Opta wameanza kurekodi EPL statistics ,sisi tunasonga mbele. I hope Carrick au Blind atakuwepo next game,


Mkuu tuwe tumepaki bus au hatukupaki...hoja yangu ni kwamba Hazard Na Drogba hawa sisi tulijua kabla ya huu mchezo ndio watakua ktk eneo lenu uwanjani lkn hawa wengine wote watakua ktk eneo letu...nimekua naifatilia ManU hivi karibuni sikuona njia nzuri ya kuvunja kabisa timu yenu km sio kupanga kikosi km hichi cha Leo na kucheza hivi....kwa hiyo ushishangae Mkuu....
 
Mkuu tuwe tumepaki bus au hatukupaki...hoja yangu ni kwamba Hazard Na Drogba hawa sisi tulijua kabla ya huu mchezo ndio watakua ktk eneo lenu uwanjani lkn hawa wengine wote watakua ktk eneo letu...nimekua naifatilia ManU hivi karibuni sikuona njia nzuri ya kuvunja kabisa timu yenu km sio kupanga kikosi km hichi cha Leo na kucheza hivi....kwa hiyo ushishangae Mkuu....

Cc Mentor
 
Last edited by a moderator:
Walioona nchezo hivi Marowani na Young Diver hawakucheza? Je, Judas Iskariot?
 
Mwenzako anakataa kuwa hamjapaki bus leo, Chelsea walikuwa na possession 29% ndio lowest possession since Opta wameanza kurekodi EPL statistics ,sisi tunasonga mbele. I hope Carrick au Blind atakuwepo next game,

Wacha kuwapagawisha Mafioso watakwambia weye mkare khe khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Hahaha angalia unavyojichanganya...inaonesha unalalamika tu kwa kufungwa ila naenda na wewe mpaka utakapoenda kulala.

1. Siku hizi possession ndo zinatoa points? Niambie mechi ngapi arsenal (mabingwa wa possession) wamefungwa ilhali walikuwa na possession kubwa? Football is all about tactic. Mou alijua hilo ndo maana akapanga kikosi chake vile.

Alijua hamji kucheza beautiful football ila kupeleka mipira kwa fellaini akamweka Zouma. Akajua rooney atakuwa kati akambakiza Matic. Wengine wote hawakuwa tishio na hakuna mchezaji wenu aliyeonesha tishio lolote kwa consecutive minutes hata mmoja.

Angalia stats zimeekwa dailymail uone possession yenu kuwa imechukuliwa na kina Smalling (mabeki) labda kiasi na rooney. Pundits wenyewe wamekubali hamjacheza tactical game mmeenda kwa ku kremu ilhali kila mtu alijua jinsi mou atacheza. Kwa nini hamkuwaweka mata na maria waanze. Doing thr same thing expecting different results???!

2. Hapo kwa mou kula matapishi yake ndo nn umeongea sasa...we jamaa kalale tu. Angekuwa ye ndo kapakiwa basi leo akalalamika ndo ungesema amekula matapishi labda ungesema leo mou katapika tena..khe khe khe khe kheeeeeeeeeeee

Na ngoja niwashe desktop kesho mtaliaaaa mi siondoki hapa mpaka jumatatu ndo nahamia arsenal.
Cc: Ntuzu


Kiongozi Mentor hawa waache bhana...tumeshamalizana nao....rudi kwetu tukapange mipango ya kuisambua sambua Arsenal....
 
Last edited by a moderator:
Chifu wapi nimelalamika?!?

Unajua maana ya kulalamika?

Kusema Rentboys walicheza 18th century footie ni kulalamika? Kwani stats si zinaonyesha how defensive was Chelshit?!?

Anyway, mmeshinda hilo ndilo la muhimu. Hongereni.

Rentboys wanajua what to do, when to it do and how to do it....
Kitu ambacho yule kocha wako pale hakijui..bila kukubali kubadilika balika kama wanavyofangaya RENTBOYS , Majogooo mtaendelea kusubiri EPL trophy milelee
 
Game ya leo only Drogba na Hazard ndio wamecheza kwenye half yetu the rest wote mlikuwa nyuma (Iva, Azpi, JT, Cahil, Oscar, Matic, Zouma) wote walikuwa kwenye half yenu , Assist hata beki anafanya assist

Dakika 90 Man U wametengeneza nafasi moja tu kipindi cba kwanza Rooney akakosa

Chelsea wamegongesha hadi mwamba kipindi cha kwanza

Chelsea walistahili ushindi
 
Dakika 90 Man U wametengeneza nafasi moja tu kipindi cba kwanza Rooney akakosa

Chelsea wamegongesha hadi mwamba kipindi cha kwanza

Chelsea walistahili ushindi
Nashakuru sana kumwambia ukweli
 
Dakika 90 Man U wametengeneza nafasi moja tu kipindi cba kwanza Rooney akakosa

Chelsea wamegongesha hadi mwamba kipindi cha kwanza

Chelsea walistahili ushindi

Nafikiri labda tuliangalia game tofauti hukuona shuti la McNair lolivyookolewa na Courtous, hukuona Falcao alivyogongesha mwamba. Utatengeneza nafasi nyingi kivipi wakati timu nzima inacheza kwenye half yao
 
Nafikiri labda tuliangalia game tofauti hukuona shuti la McNair lolivyookolewa na Courtous, hukuona Falcao alivyogongesha mwamba. Utatengeneza nafasi nyingi kivipi wakati timu nzima inacheza kwenye half yao

Kubali umepoteza game kwa sababu ya quality ya wachezaji wa Chelsea

Tikifungwa tuwapongeze walio kupiga then jipange mechi ijayo
 
mwenzako anakataa kuwa hamjapaki bus leo, chelsea walikuwa na possession 29% ndio lowest possession since opta wameanza kurekodi epl statistics ,sisi tunasonga mbele. I hope carrick au blind atakuwepo next game,

huu ni uongo....wacha kuupotosha umma.
 
Nafikiri labda tuliangalia game tofauti hukuona shuti la McNair lolivyookolewa na Courtous, hukuona Falcao alivyogongesha mwamba. Utatengeneza nafasi nyingi kivipi wakati timu nzima inacheza kwenye half yao

Kubalini tu nyie ni butu....15 shots and only two on target???????????
Cmon maaaaaaan

71% possession and?????????

Mwandiko mzuri haupewi maksi bro....jibu sahihi tu...!!!!!
 
Nafikiri labda tuliangalia game tofauti hukuona shuti la McNair lolivyookolewa na Courtous, hukuona Falcao alivyogongesha mwamba. Utatengeneza nafasi nyingi kivipi wakati timu nzima inacheza kwenye half yao


Ata tukikubali kwamba Rooney, McNair na Falcao hawa walipiga mashuti on target... Kubalini tu kua Jana mlibanwa njia zenu zote zote...mlishindwa kupitisha mipira kati....mkashindwa kupitisha mipira kupitia wings....na mkaishiwa mbinu kabisa...na mkabaki kuwaachia mabeki wenu kuchezea mpira tu ktk eneo Lenu!

Angalia mpira wenu na Man City mtaona namna mlivotengeneza nafasi nyingi na kufunga lkn kwa mchezo wenu Jana mlikua butu na kuchanganyikiwa kadri muda unavokwenda....

Timu nzima kucheza ktk half yao sio shida kwanini na nyie msihamie ktk half yao km rahisi hivo?
 
Mmepoteza mechi na inabaki hivyo!Haya sijui mliongoza kwa possession hayana nafasi yyt ktk soka la leo

Jipangeni mechi ijayo na Everton la sivyo mhhhh Lukakuuu is getting better and better



Leo hii nawashangaa wengine kwa kudai penalty na kumlaumu Mike Dean....Mike Dean alikua sahihi kabisa kuwanyima ManU penalty kwasababu alikua karibu kabisa na eneo la tukio akiona namna Cahill akifatwa na mchezaji Wa ManU na kufanyiwa madhambi makusudi....
 
Leo hii nawashangaa wengine kwa kudai penalty na kumlaumu Mike Dean....Mike Dean alikua sahihi kabisa kuwanyima ManU penalty kwasababu alikua karibu kabisa na eneo la tukio akiona namna Cahill akifatwa na mchezaji Wa ManU na kufanyiwa madhambi makusudi....

Ile ingekuwa penalty ningevunja TV yangu kwa hasira!Nilicho kiona leo ni umakini wa hali ya juu wa beki za Chelsea

Man U hawakuwa na mbinu mpya
 
Ile ingekuwa penalty ningevunja TV yangu kwa hasira!Nilicho kiona leo ni umakini wa hali ya juu wa beki za Chelsea

Man U hawakuwa na mbinu mpya


Kabla ya game LvG alisema Chelsea wanahitaji sare tu lkn wataweza kucheza ktk nidhamu hiyo kwa muda gani?

Jana Chelsea walicheza kwa nidhamu na umakini Wa hali ya juu sn...kwasababu walijua vzr huu mchezo namna utakavokua...

Mourinho Fundi bhana.....
 
Back
Top Bottom