hata ingekuwa 100,ushindi unaangalia magoli
Kwa hiyo mimi kichaa siyo? Doh!
Sawa basi..
watu wafunge goli dk ya 38 halafu wailinde na mmeshindwa kuirudisha halafu eti lucky team,basi mgerudisha goli acheni kutapatapaMentor
United!!
Seriously????
That a shame sir...
*****
Chelsea were a lucky team but PLAYED NOTHING. however congratulations for 3points.
✌️
Eti anasema football is 'strategically'! Huyu Maureen nimeshasema sana kuwa siyo kocha, ni mjanjamjanja tu!
Kwa 18th century football rentboys waliyocheza (30% possession at home 😳😉 ni vigumu kuvunja hilo basi. Kama umeangalia post-match interview ya Maureen kaonyesha kabisa nia yake ilikuwa ni kupata points 3 tu.
Nakumbuka alivyocheza na West Ham (walivyopaki basi) alilalamika sana na kusema W. Ham walicheza 18th century football. Na kuponda sana mfumo huo. Leo kala matapishi yake!!