Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hukunielewa,hapa tunazungumzia Chelsea Vs United. Hutaki kukubali kwamba mlicheza defensive game ndio maana nilikupa hizo statistics

Sentensi yako na picha uliyoquote havina maana sawa!

None the less you call it defensive we call it tactical...khe khe khe kheeeeeeeeeeeeee
 
Jana nimeshuhudia sisi tukicheza mpira na timu nyingine ikizuia tu.
Kuna wakati niliamua kuangalia game ya Reading vs Arsenal
 
Mourinho insists it was part of the game plan to make their important Man U players disappear,no body saw them they were in our pocket.

mourinho (football is talent and strategies and we tried to put their special players in the pocket)

Duuuh!! Huyu dogo alitimiza maagizo ya bosi kwa kweli
 

Attachments

  • 1429439995036.jpg
    1429439995036.jpg
    62.6 KB · Views: 100
Yesterday was Luke Shaw's best performance in a United jersey, so far. That is something, when you consider he's been away for six weeks - and the fact that he came took over Daley Blind's position, in which Blind has excelled.
3 days after giving himself a C- performance, for his first season at United, it's encouraging to see how much he's improved and how much better he wants to get. Part of his performance was aided in the 4 defence man, unlike his previously, when he was playing in a 3-5-2 system.
"Luke Shaw, we take that C- and turn it into a A, because you did very well against Chelsea... and you seem to have improved in your absence."
Part of the reason why this is great news is because Shaw's growing into his role is not only great for the rest of the season and in case of injuries... but you can only expect that, just like the other players, he'll continue to grow into the next season.
Were you impressed with Luke Shaw's performance? How would you rate it? ‪#‎believe‬ ‪#‎GGMU‬ ‪#‎uniteddamu‬


11150546_359944230866720_2492321497956388620_n.jpg
 
Manchester United lost to Chelsea 1 nil last night and it was devastating... here are 10 things we learned:
1. When we played like that,despite losing, we played very well and I thought - we will be great next season. And even better in Europe. Mark my words.
2. Luke Shaw, despite being out of the team for 6 weeks is great on left back.
3. Paddy McNair has gotten better even while being away.
4. Chelsea knew how to defend Fellaini - he was barely able to get the second ball - but anyway, it was still tough.
5. Rooney's passes in the midfield and ball distribution are second to none.
6. Rooney should have also scored. Those misses.....aaaaaaaaargh.
7. We miss Carrick. We miss Blind!
8. Di Maria should have come in earlier than he did. When he came in the second half, he brought the ball behind the strong Chelsea defence and there was more action on the box - he also kept his position and defended. That was something else.
9. Sometimes you need the ref to be on your side. He wasn't.
10. Chelsea will be champions, but we shall beat them next time because... we really, really played well - even with an injury crisis.
10.1. Because of superstitions, Admin will not attend other Chevrolet events in Nakuru. Everything just felt wrong. No internet, could not post pictures, could not post when we wanted to... Does this make me crazy of just a fanatic?
10.2. I think Falcao was supposed to score a goal - he did did everything except do his job to score. His fate must be sealed now, surely.
10.3. We complained about Smalling... He seemed unsure and was often caught with the ball. He had a bad day yesterday.
10.4. Januzaj still takes too long with the ball and seemed out of his depth from the moment he came on. Mistake Subbing Mata.
10.5 Tyler Blackett is not a replacement for Luke Shaw.... He seems to have forgotten? Mistake Subbing both Shaw and Young - LvG Should have subbed one and kept Di Maria upfront.
---
Those are the 10 things, what else did you learn? ‪#‎believe‬ ‪#‎GGMU‬‪#‎uniteddamu‬
11156323_359867017541108_2524767124600908214_n.jpg
 
Duh!!!! Watoto wa Mournhio mna kelele sana kama baba yenu, yaani kila mahali ni kelele nyumbani kelele,humu mtandaoni kelele hadi makanisani leo kelele kisa Chelsea imeshinda hamna faraja kokote....... Ngoja nijilalie tu......

Tatizo mlipowafunga liverpool na man city mlidhani mmeshakuwa juu ya timu zote kiufundi na post nyingi humu zinaonyesha mlijiamini sana japo kocha wenu hakuwahi kujiamini kivile mbele ya watu wa darajani. Mnashindwa kujua kuwa aliyekuwa na pressure ya kushinda ni man u wala siyo chelsea! Mwenye shida ya kushinda alikuwa na jukumu la kushambulia! Lengo la Chelsea lilikuwa kutokupoteza mchezo kwa maana ya kufungwa, Hivyo tactics zililenga kuvuruga mipango ya malengo yenu msiweze kufunga. Ball possesion haikuwezeshi kufunga kama haikusaidii kutengeneza nafasi nzuri za kuweka mpira wavuni. Jiulize swali, kama ulikaa na mpira kwa asilimia 70, ulikuwa unafanya nao nini? Chelsea walikuachia uchezee mpira ili mradi tu unauchezea kwa namna ambayo hautaleta madhara! Kama kwa mfano ungebahatisha kufunga goli la kuongoza usitegemee kuwa ugeachwa ukae na mpira kwa kiasi hicho. Morinho alipoona mbinu zake zinafanikiwa hakuwa na sababu ya kubadili game plan. Kubalini kiwango cha kocha wenu hakifikii kile cha "special one" pia wachezaji wenu walio wengi bado sana kiwango. Ndio maana mkiwa na majeruhi timu nzima kuanzia kocha, wachezaji mpaka mashabiki wote mnaanza kulialia! Sisi Costa ni majeruhi na kila mtu anajua ni mchezaji muhimu lakini kocha halilii bali anapanga mbinu za kiufundi za kushinda mechi bila yeye! Poleni na jipangeni!
 
Jana nimeshuhudia sisi tukicheza mpira na timu nyingine ikizuia tu.
Kuna wakati niliamua kuangalia game ya Reading vs Arsenal

Sasa nyie mlikuwa mnacheza mpira ili iweje? What was your plan? Was your plan successful? if not why not? Technically credit goes to a successful plan fullstop!
 
Tatizo mlipowafunga liverpool na man city mlidhani mmeshakuwa juu ya timu zote kiufundi na post nyingi humu zinaonyesha mlijiamini sana japo kocha wenu hakuwahi kujiamini kivile mbele ya watu wa darajani. Mnashindwa kujua kuwa aliyekuwa na pressure ya kushinda ni man u wala siyo chelsea! Mwenye shida ya kushinda alikuwa na jukumu la kushambulia! Lengo la Chelsea lilikuwa kutokupoteza mchezo kwa maana ya kufungwa, Hivyo tactics zililenga kuvuruga mipango ya malengo yenu msiweze kufunga. Ball possesion haikuwezeshi kufunga kama haikusaidii kutengeneza nafasi nzuri za kuweka mpira wavuni. Jiulize swali, kama ulikaa na mpira kwa asilimia 70, ulikuwa unafanya nao nini? Chelsea walikuachia uchezee mpira ili mradi tu unauchezea kwa namna ambayo hautaleta madhara! Kama kwa mfano ungebahatisha kufunga goli la kuongoza usitegemee kuwa ugeachwa ukae na mpira kwa kiasi hicho. Morinho alipoona mbinu zake zinafanikiwa hakuwa na sababu ya kubadili game plan. Kubalini kiwango cha kocha wenu hakifikii kile cha "special one" pia wachezaji wenu walio wengi bado sana kiwango. Ndio maana mkiwa na majeruhi timu nzima kuanzia kocha, wachezaji mpaka mashabiki wote mnaanza kulialia! Sisi Costa ni majeruhi na kila mtu anajua ni mchezaji muhimu lakini kocha halilii bali anapanga mbinu za kiufundi za kushinda mechi bila yeye! Poleni na jipangeni!

Asante tumekuelewa tutajirekebisha.............
 
Negative footie....no wonder they were knocked out of the UCL with their 'park the bus' strategy 😂😂😂

Them fans saying, "you should have known better".

But, how can you outclass the classless?!? 😳😳😳 You only outclass somethings that are classy.
 
Back
Top Bottom