Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wanadai ni Master class. Mourinho ni mviziaji tu, anapaki basi halafu anasubiri timu nyingine zifanye makosa. Anyway, kuna siku bahati zinakimbia kama vs PSG. Jumapili ijayo atacheza hivi hivi 3 defenders 2 defensive Midfielders, then atasubiri Arsenal wafanye makosa yao(cannot blame Chelsea tukifanya makosa) kama ilivyo kawaida ya Arsenal vs Chelsea OR Arsenal vs Manchester United.

Nakuhakikishia mkuu game ya arsenal haitachezwa hivi kama ya man u, kwa kudefend na kuvizia
 
The history men..mi nilitaka uniambie kwa game ya leo. Exceptionalitu yenu ilikuwa wapi?

Mou anajua mlichokuwa mnataka ndiyo maana kafanya.

Heheheheheh ngoja nicheke defensive midfielder ka assist goli la ushindiiiii hahahahahahahha...



Thank you rubaman



Unajua Mentor Mourinho kiboko Mkuu.... Kuna maneno alisema Jana ijumaa leo yametimia....jamaa alisema ManU Na LvG wanataka ubingwa Na akasema unaweza kuwasoma tu kupitia nyuso zao.....na kweli leo kila mchezaji Wa ManU alikua amekania mchezo na Falcao alionyesha kufanya vurugu kweli....ata Rooney alivyokosa goli bench la ManU liliinuka kwa nguvu....Na LvG alionekana kushindwa kujicotrol Na kuonyesha kuchukua nyakati zingine....lkn Mou alijua dhamira zao Mkuu ndio maana kafanya hivo km ulivosema....
 
Last edited by a moderator:
Wanadai ni Master class. Mourinho ni mviziaji tu, anapaki basi halafu anasubiri timu nyingine zifanye makosa. Anyway, kuna siku bahati zinakimbia kama vs PSG. Jumapili ijayo atacheza hivi hivi 3 defenders 2 defensive Midfielders, then atasubiri Arsenal wafanye makosa yao(cannot blame Chelsea tukifanya makosa) kama ilivyo kawaida ya Arsenal vs Chelsea OR Arsenal vs Manchester United.

Haya kibarua chako hicho mimi nimekuachia labda kismat kitakuwa chako maana siku hizi na wewe nyota yako inang'aa si mchezo mpaka ubingwa unatabiriwa......
 
The history men..mi nilitaka uniambie kwa game ya leo. Exceptionalitu yenu ilikuwa wapi?

Mou anajua mlichokuwa mnataka ndiyo maana kafanya.

Heheheheheh ngoja nicheke defensive midfielder ka assist goli la ushindiiiii hahahahahahahha...



Thank you rubaman

Game ya leo only Drogba na Hazard ndio wamecheza kwenye half yetu the rest wote mlikuwa nyuma (Iva, Azpi, JT, Cahil, Oscar, Matic, Zouma) wote walikuwa kwenye half yenu , Assist hata beki anafanya assist
 
Last edited by a moderator:
Game ya leo only Drogba na Hazard ndio wamecheza kwenye half yetu the rest wote mlikuwa nyuma (Iva, Azpi, JT, Cahil, Oscar, Matic, Zouma) wote walikuwa kwenye half yenu , Assist hata beki anafanya assist


Wakati tulikua tunayachambua haya kabla ya mechi hii ktk thread yetu kule mlikua mnapita Na picha zenu za shetani Na jambia lake lkn kwetu sisi tulijua kabisa kua hivi ndio itakua...
 
Hapa nilale kwanza nikitoka ibadan asubuhi nitakuwa na cha kuchangia hapa.

"It's not always the better team that wins" lvg


Huyu Mzee Na yeye anaanza kuongea maneno ya mabaya.....

Timu bora siku zote ndio hushinda...... Sasa km timu Yake ni bora kwanini ashindwe na timu mbovu?
 
Wakati tulikua tunayachambua haya kabla ya mechi hii ktk thread yetu kule mlikua mnapita Na picha zenu za shetani Na jambia lake lkn kwetu sisi tulijua kabisa kua hivi ndio itakua...

Mwenzako anakataa kuwa hamjapaki bus leo, Chelsea walikuwa na possession 29% ndio lowest possession since Opta wameanza kurekodi EPL statistics ,sisi tunasonga mbele. I hope Carrick au Blind atakuwepo next game,
 
Back
Top Bottom