Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

MUSSOLIN tumepiga story kidogo
Wacha nilale Mkuu!
Ni kawaida kurushiana maneno ya hapa na pale. Karibu sn darajani Mkuu.

Usiku mwema
 
Last edited by a moderator:
Subirini siku zikaribie alafu mumuulize LvG juu ya Chelsea atawambia. We u nafikiri Chelsea ni sawa na LFC au Man City?

Mkuu mbona hujaitaka Totenham hotspurs kwenye orodha yako au kwa sababu ilibomoa daraja kwa kishindo cha tsunami? Akikuchokoza Spurs tena niite...
 
Manchester United fans singing "Sacked in the morning, you're getting sacked in the morning" to Manuel Pellegrini.

Kwa alivyo chukia yule Ustaadhi sijui kama atamuacha salama. Nina uhakika yuko na kikao kizito mmojawapo akiwa ni muhasibu mkuu anatakiwa kuweka mahezabu yake vizuri kabisa.
 
Kwa alivyo chukia yule Ustaadhi sijui kama atamuacha salama. Nina uhakika yuko na kikao kizito mmojawapo akiwa ni muhasibu mkuu anatakiwa kuweka mahezabu yake vizuri kabisa.

....watajiju....Manchester kitu ingine...weita kama kawa jamuyadaa hakunaga hapa
 
Arsenal chama kubwa, mziki wake unaujua.

Naona FA imekupa kiburi, huo mdomo uliwahi kuwaponza mkageuzwa Coastal Union ya England.
 

Attachments

  • 1428882319761.jpg
    1428882319761.jpg
    7.8 KB · Views: 100
Back
Top Bottom