grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,441
- 5,820
Ungechukua wewe sijui ungesema nini?
Na EPL utaisikia tu.
Kabati OT limejaa medali na Vikombe tu, sijui kabati lako darajani.
Ungechukua wewe sijui ungesema nini?
Na EPL utaisikia tu.
....katimu gani hako
Man U wapo vyema kwa sasa,tusiwaonee husuda na tuwe wakweliHuwa wanafungwa na wazee wakumbushe hattrik ya etoo, na hizo beki zao zenye viuno vgumu visivyonyumbulika(Valencia) hazard ataleta shida
Yaya Toure kiungo bora England leo kalala na viatu kwa muziki mnene wa Fellain, alishusha pumzi baada ya LVG kumpumzisha vinginevyo hata bao la pili wasingelipata. Sasa pale chelsea nani wa kuzuia Fellain, Young wakati huo Matta ana hasira nao ile mbaya.
Kucheza vizuri wanacheza vizuri since reintroduction of Mata, Carrick na Herrera. Lakini for the good of rivalry tutachukiana kuhusudiana hadi kiama Malafyale wewe ni mnazi mkubwa wa Liverpool kama nilivyo kwa Arsenal there's no way tuwasifie au kufeel okay kwa turn around yao. I'm sure watafeel the same way Liverpool and Arsenal wakicheza vizuri. Mfano mzuri tangu resurgence ya Arsenal ya January to hivi sasa is not setting up right with them. Ndio rivalry ya soka ilivyo hate-hate, dislike -dislike, tutashake mikono ya "it was an interesting season, see you next season" msimu ukiisha, lakini hivi sasa ni hate-hate tu nakuwishiana rival apoteze points mechi inayofuata.Man U wapo vyema kwa sasa,tusiwaonee husuda na tuwe wakweli
Chelsea kwa kiwango hiki chao cha sasa anafungwa pale pale darajani!Sorry mpwa wangu Ntuzu kusema haya
Hivi Chelsea ana vikombe vingapi maana tusiwe tunabishana na tutimu twa tukombe twa kubahatisha bahatisha hutu....
Hahahahaaaaaaaa....sasa kama Spurs alipiga mkono unategemea nini kwa Man U.
Kwa alivyo chukia yule Ustaadhi sijui kama atamuacha salama. Nina uhakika yuko na kikao kizito mmojawapo akiwa ni muhasibu mkuu anatakiwa kuweka mahezabu yake vizuri kabisa.
Teheteheheheeeeeee....mkuu mbona unasababisha nyongo kwa wasaga sumu zipande bila sababu?
Kwa rekodi hii Duniani hakuna Kocha mwenye hadhi ya kufunga hata kamba za viatu vya Sir Alex Ferguson.
Hivi Chelsea ana vikombe vingapi maana tusiwe tunabishana na tutimu twa tukombe twa kubahatisha bahatisha hutu....
Hakuna chochote hapo, Fellain si mali kitu mbele ya chelsea, wewe mwenyewe utamshangaa, Mata alikosa namba pale, hata leo hawezi pata namba. Man u mmepumua kidogo lakini jumamosi hesabuni maumivu! Hapo ndipo panaitwa darajani mwisho wa reli!