Mchochezi
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 11,449
- 9,739
Man City kuifunga Man U ni mpaka refa atoe msaada wa kadi nyekundu au itokee kama leo mchezaji mmoja yuko nje kwa matibabu ndio watumie nafasi hiyo kuifunga Man United. Kinyume chake ni vigumu mno kwa Man city kuifunga Man U ila Man U huifunga Man City ikiwa kamili kama leo.
Leo mbereko haikuwepo, afu yule Kompany yule....