Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tulikwenda OT na striker Drogba na akafunga goli zuri kabisa au umesahau?

Huwa wanafungwa na wazee wakumbushe hattrik ya etoo, na hizo beki zao zenye viuno vgumu visivyonyumbulika(Valencia) hazard ataleta shida
 
Huwa wanafungwa na wazee wakumbushe hattrik ya etoo, na hizo beki zao zenye viuno vgumu visivyonyumbulika(Valencia) hazard ataleta shida


Hahahaa ule upande Wa Valencia patakua patamu sn
 
rubaman;

Ulianza kushabikia Spurs,uka hamia Liverpool, leo ulikuwa ulikuwa Man City. Tuambie umehama Arsenal?
 
Last edited by a moderator:
Ndoto zimeanza sasa, hakuna ambaye hakuona leo manu ikishinda! umeona rekodi ya mancity ya hivi karibuni? ni horrible. Mmecheza vizuri, ila ukweli ni kwamba timu zilizo juu yenu ni ziko bora zaidi, pia kuna machinjioni Selhurst park.

Watu mbona mnakuwa wanafik hvi, c ndio nyinyi mliokuwa mnatupigia kelele kuwa lazima tufungwe Leo Na ushind wetu Ni droo
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Hatuna maneno mengi sisi!! najua baada ya kipigo cha PSG daraja halina nguvu, JE SHETANI MWEKUNDU AKIPITA UNADHANI ITAKUAJE??jiandae kwa usiyo tarajia.

hodiiiiii red devil kaja.....
View attachment 242739


Ninachojua ni kwamba huo mchezo tunauchukulia ni muhimu sn kuliko nyie kutokana na hali halisi.

Vyovyote vile mtakavokuja kunifunga hilo msahau kabisa!
 
Man City masikini walidhani Smalling atakula red tena.
Kumbe dogo keshaomba msamaha na kuahidi hataruhusu tena ujinga umtawale.

Man City kuifunga Man U ni mpaka refa atoe msaada wa kadi nyekundu au itokee kama leo mchezaji mmoja yuko nje kwa matibabu ndio watumie nafasi hiyo kuifunga Man United. Kinyume chake ni vigumu mno kwa Man city kuifunga Man U ila Man U huifunga Man City ikiwa kamili kama leo.
 
Subirini siku zikaribie alafu mumuulize LvG juu ya Chelsea atawambia. We u nafikiri Chelsea ni sawa na LFC au Man City?

sitashangaa Morinho akiwapanga kwa pamoja kwenye kiungo, Matic, Ramires, Zouma kama viungo wakabaji!
 
Back
Top Bottom