Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Angalia alichosema leo

[h=1]Former Arsenal star Paul Merson: Why Liverpool will BEAT Man Utd[/h] PAUL MERSON believes Liverpool's pace up front will cause too many problems for Manchester United's defence to cope with.

Huyu jamaa nikimuona kwenye TVyupo kama pundit wakati Man Utd wanacheza straight away ninabadilisha channel, jamaa hana kingine anachoongea zaidi ya kuikandia Man UTD

Hahahaha kumbe na nyie huwa mnamsoma hajwahi kitabiri man u itashinda ikiwa away
 
Scholes ni mnazi kupindukia kuliko Merson. Merson anamkritsaizi Wenger mara kibao sijawahi kusikia Scholes akifanya hivyo kwa LVG. Sema Merson si predictor mzuri. Niliacha kusoma predictions za Merson kwa muda mrefu sasa . Lately Scholes amekuwa very critical kwa Arsenal hata tunapocheza vizuri.
Mbona ni juzi kati tu Sholes alimponda Lvg kuhusu playing system anayotumia kuwa sio Manchester united traditional playing system. Lvg alimjibu pia
 
11082556_10152849171077746_3670555046915970923_n.jpg
 
Nimefurahi sn wakuu mlivo wapiga hao jamaaa maana wangechonga sn....sasa nafasi ya nne au ya tatu au ya pili ni yenu wakuu maana Loser walikua wanaleta shida nyuma yenu lkn sasa mmewatoa kabisa....na Arsenal atakuja kuwatimua kabisa....nataka na Man City akija hapo kwenu mumkoyonge kabisa ili muwe nafasi ya tatu kiulaini na mimi nichukue ndooo kiulaini....safi sn wakuuu lol.
 
Nimefurahi sn wakuu mlivo wapiga hao jamaaa maana wangechonga sn....sasa nafasi ya nne au ya tatu au ya pili ni yenu wakuu maana Loser walikua wanaleta shida nyuma yenu lkn sasa mmewatoa kabisa....na Arsenal atakuja kuwatimua kabisa....nataka na Man City akija hapo kwenu mumkoyonge kabisa ili muwe nafasi ya tatu kiulaini na mimi nichukue ndooo kiulaini....safi sn wakuuu lol.

Ukiacha sisi washabiki wa man utd, wewe peke yako ndio ulikuwa unasema tutawafunga hawa Liverpool......wengine wote walijua jana ni kukamilisha ratiba tu mechi walishacheza midomoni mwao!
 
Na imekua hivo mkuu.....

hongereni sn wakuu hawa Loserfool mmewapa dawa yao waliokua wanastahili....

CC: everlenk Nzi Belo RRONDO na wengine wooooote

Nimefurahi sn wakuu mlivo wapiga hao jamaaa maana wangechonga sn....sasa nafasi ya nne au ya tatu au ya pili ni yenu wakuu maana Loser walikua wanaleta shida nyuma yenu lkn sasa mmewatoa kabisa....na Arsenal atakuja kuwatimua kabisa....nataka na Man City akija hapo kwenu mumkoyonge kabisa ili muwe nafasi ya tatu kiulaini na mimi nichukue ndooo kiulaini....safi sn wakuuu lol.

Wabheja sana.......
 
Last edited by a moderator:
Ukiacha sisi washabiki wa man utd, wewe peke yako ndio ulikuwa unasema tutawafunga hawa Liverpool......wengine wote walijua jana ni kukamilisha ratiba tu mechi walishacheza midomoni mwao!

Yaani katika wote huyu peke yake ndo aliona mbali Ntuzu big up !!!
RRONDO kitu nilichopenda jamani huyu Mungu wa ajabu sana yule yule waliyekuwa wanamdharau ndo kawafunga,bado Di Maria naye kuweka heshima yake...........
 
Last edited by a moderator:
Weekend ilikwenda vyema kuna mambo matano muhimu niliyoyaona katika mpambano wetu na Looserfool.

1. Smalling amebadilika sana,anacheza na confidence kubwa nafasi yake na wakati mwingine anapandisha mashambuzi mbele bila wasi wasi wowote.Wakati anachukuliwa na Sir Alex alikuwa kaachwa mbali sana na Jones leo hali ni tofauti kabisa Jones kapoteza confidence na mara nyingi anafanya maamuzi mabovu hasa timing yake si nzuri anaweza kusababisha penalty au red card bila sababu za msingi.

2. Fellaini kwa mara nyingi naweza kusema pasipo shaka amekuwa mchezaji muhimu wakati tunaposhambulia pia tunaposhambulia hasa mipira ya juu amekuwa nguzo muhimu sana.

3. Herreira ni mchazaji mwenye kipaji cha hali ya juu sana,sikushangaa Gerrad alipomfanyia rafu hiyo ilikuwa ni dalili ya uoga na kushindwa kuhimili mikimiki ya kijana mdogo mwenye vitu vingi uwanjani.Pasi ya goli la kwanza ilitoka kwake kwa hakika ameziba pengo la Paul Scholse.Ilikuwa ni kosa kubwa sana kijana mwenye kipaji kikubwa kukwa banch.

4. Young hakuwa katika kiwango bora laiti kama angekuwa katika kiwango chake kwa 60% Looser wangekuwala mkono mzima.

5. Rooney alitakiwa kumwachia penalty Mata aondoke na mpira wake.Kitendo cha kukimbilia kupiga penalty kilionysha jinsi alivyombinafsi.Goli la pili la Mata kama lingefungwa na Rooney hakika vyombo vyote vya habari UK wangesema ni moja ya magoli bora duniani lakini kwakuwa limefungwa na mspaniola .......... utamalizia mwenyewe.
 
During Friday's press briefing, LvG gave an in-depth description of how he was preparing the team for the Liverpool clash and it was intense: Let me recap the process and the outcome.
● 2 weeks to go: scouts are sent out to assess Liverpool on the pitch - smell the grass, see the things cameras miss and feel the intensity. SWOT analysis is done: their strengths and their weaknesses are mapped on the clip board.
● 1 week to go: LvG and his technical team bring DVDs for the entire squad to watch; commentary is issued and scouts give a recap of their experience.
● Some days to go: Based on the analysis, LvG splits the squad into Team 'Liverpool' and Manchester United who then play against each other. Dry Run. (I wonder if the 'Gerrard' of United was only there for 30 seconds).
● 3 days to go: Giggs to gives a pep-talk on the history of the derby it's importance and such stuff - told them they must win it. No smiles.
● Every day that week: The cook reminds Van Gaal about the derby. If he loses, his food would be poisoned. (Kidding?!)
● LvG gives an anger management lessons to the team: he becomes the ref who's deliberately worse than Clattenburg on his worst days against United and Di Maria does not tug his shirt. Lesson learned.
● A day to go, Wayne Rooney and Michael Carrick give their their Captain Pep talk. There are no smiles in the room. It's war time.
---
On the day: Pundits at SuperSport and Sky review these things and say LvG is being 'too technical' or 'too intelligent'. They say this is too much information because footballers are not necessarily the brightest people in the field.. they declare it would not work.
---
It's now Pre-match press and journalists ask van Gaal how he would counter Liverpool's speed and he say his team will also have speed and they are just as prepared with their own counters. No Pun.
---
it's a go at Anfield. Rooney stares ahead - he cannot look at Johnson or glance at that offensive ' this is Anfield' plaque. I clench. No more time, game is on.
----
Game Starts. Team looks settled. Awesomeness. Mata. Goal. Awesome. Carrick. Shot. Halftime. Gerrard in.Gerrard Kaboom. Di Maria in. Pass. Mata. Acrobatic. Goal. Snoooooooooze. Resurgence by Liverpool. Goal. Holding. Holding. Blind. Running. Down. Penalty. Rooney. WTF? The gods hate him. Full time. Skrtel tries to break DDG's legs. War over. Sorry, Game over. Or is it?
---
I unclench. Pundits hide in shame and come out saying: Genius. I smile.
‪#‎believe1000000000000‬ ‪#‎GGMU‬ ‪#‎uniteddamu‬
10469484_351210078406802_5171312831737686556_n.jpg
 
10432507_351178711743272_8829915833091599179_n.jpg

Manchester United put a 5-point gap between 5th placed Liverpool with a strong 2-1 at Anfield yesterday in a show of momentum that produced everything a derby should. Here are 20 things we learned and observed from that encounter.

1. Juan Mata Matters. Mata Millele. Legend.
2. The wish for many to see Mata and Di Maria playing together was rewarded with a great goal - possibly best of the season.
3. Ander Herrera makes 'world-class' players look ordinary.
4. Winning at Anfield is sweet.
5. Wayne Rooney should have let Mata try for a hat trick! Selfish?
6. But, it was comically interesting to see the universe conspire not to give Rooney a goal at Anfield. That is what we call a jinx; and I now believe it exists.
7. Daley Blind may not have the 'legs' for it, his positioning and ability to beat a man make up for all that.
8. According to LvG, Mata's new position is known as: "false right-winger". That there is philosophy.
9. Fellaini's chest is made up of soft pillows that bounce the ball back to his legs. Seriously, he made awesome turns in that game - I think it was his best performance, yet for United and he did not even look tired.
10. Phil Jones makes me want to close my eyes when he has the ball. Ah, well. You can't have everything.
11. Van Gaal's anger management classes paid off - the team was very composed for a derby competition.. However, something needs to be done about Martin Skrtel.
12. Smalling is becoming good. He won every battle and even had a moment to taunt Balotelli. Awesomeness.
13. That, right there. That is the Manchester United way. Keep it up.
14. Every player needs to be benched for long periods... This is what happened with Herrera and now, look at Mata. I wonder what will happen when Rafael comes on!
15. Victor Valdes is the best benched player ever. He was just so busy cheering the players and the team... must have been thinking, "glad I did not sign for these sods." Most importantly, I love his attitude. If you've not been watching him, try to do so next time!
----
16. F**k Pele. He came to see Coutinho? How can he say that when we had the White Pele on the pitch? Even if I think that word is racist as shit, I'm just glad I was too young to see him play.
17. Hope Young is good. He limped off, there.
18. Seeing Van Gaal smilling (smirking) at the end of the match made me smile (smirk) right back. His complement to Mata was the best apology ever.
19. Also, Rooney tried very hard to not to smile when Steven Gerrard was sent off. He didn't try hard enough, it still came out.
20. Carrick and De Gea had a 20% off day. Thank God other players turned up.
----
What else did you learn from that game? ‪#‎believe‬ ‪#‎GGMU‬ ‪#‎uniteddamu‬
 
10432507_351178711743272_8829915833091599179_n.jpg

Manchester United put a 5-point gap between 5th placed Liverpool with a strong 2-1 at Anfield yesterday in a show of momentum that produced everything a derby should. Here are 20 things we learned and observed from that encounter.

1. Juan Mata Matters. Mata Millele. Legend.
2. The wish for many to see Mata and Di Maria playing together was rewarded with a great goal - possibly best of the season.
3. Ander Herrera makes 'world-class' players look ordinary.
4. Winning at Anfield is sweet.
5. Wayne Rooney should have let Mata try for a hat trick! Selfish?
6. But, it was comically interesting to see the universe conspire not to give Rooney a goal at Anfield. That is what we call a jinx; and I now believe it exists.
7. Daley Blind may not have the 'legs' for it, his positioning and ability to beat a man make up for all that.
8. According to LvG, Mata's new position is known as: “false right-winger”. That there is philosophy.
9. Fellaini's chest is made up of soft pillows that bounce the ball back to his legs. Seriously, he made awesome turns in that game - I think it was his best performance, yet for United and he did not even look tired.
10. Phil Jones makes me want to close my eyes when he has the ball. Ah, well. You can't have everything.
11. Van Gaal's anger management classes paid off - the team was very composed for a derby competition.. However, something needs to be done about Martin Skrtel.
12. Smalling is becoming good. He won every battle and even had a moment to taunt Balotelli. Awesomeness.
13. That, right there. That is the Manchester United way. Keep it up.
14. Every player needs to be benched for long periods... This is what happened with Herrera and now, look at Mata. I wonder what will happen when Rafael comes on!
15. Victor Valdes is the best benched player ever. He was just so busy cheering the players and the team... must have been thinking, "glad I did not sign for these sods." Most importantly, I love his attitude. If you've not been watching him, try to do so next time!
----
16. F**k Pele. He came to see Coutinho? How can he say that when we had the White Pele on the pitch? Even if I think that word is racist as shit, I'm just glad I was too young to see him play.
17. Hope Young is good. He limped off, there.
18. Seeing Van Gaal smilling (smirking) at the end of the match made me smile (smirk) right back. His complement to Mata was the best apology ever.
19. Also, Rooney tried very hard to not to smile when Steven Gerrard was sent off. He didn't try hard enough, it still came out.
20. Carrick and De Gea had a 20% off day. Thank God other players turned up.
----
What else did you learn from that game? ‪#‎believe‬ ‪#‎GGMU‬ ‪#‎uniteddamu‬

21. Mata is anything that occupies space and has mass. It took me 10+ years not to understand the theory but 90 minutes was enough to get it all right under prof. Juan. Thanks fo da practical lesson at anfield
 
21. Mata is anything that occupies space and has mass. It took me 10+ years not to understand the theory but 90 minutes was enough to get it all right under prof. Juan. Thanks fo da practical lesson at anfield

Hahaaaa Mkuu spot on.....lesson learnt....

Kiukweli siku zote nimetamani kumuona Herrera na Mata...they didn't dissapoint kwenye hizi game mbili ya Tot na Looserfools....

Napenda kuona Di Maria amerudi kwenye form nione hawa watatu watakuwaje ....Herrera, Mata na Di Maria
 
Back
Top Bottom