Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ukiacha sisi washabiki wa man utd, wewe peke yako ndio ulikuwa unasema tutawafunga hawa Liverpool......wengine wote walijua jana ni kukamilisha ratiba tu mechi walishacheza midomoni mwao!



Mkuu RRONDO sasaivi Niko Taiti kidogo siwezi kusema mengi Ila Badae Tutaongea Kidogo

Asante.
 
Last edited by a moderator:
Ntuzu hujambo?naona Hull wamewatoeni makamasi kama Genoa walivyotufanya.
 
Last edited by a moderator:
Ntuzu hujambo?naona Hull wamewatoeni makamasi kama Genoa walivyotufanya.




Mkuu We acha tu. Nimeona Jana Juve alivyopata shida......lkn nafikiri Wachezaji Wa Juve wameanza kuchoka au mpira wao na BD ktkt ya wiki iliyopita uliwachosha sn
 
Last edited by a moderator:
Lini umesilimishwa everlenk!? Ukitamka hili neno unatakiwa upige na goti la kuonyesha heshima 🙂🙂

Hahahaha!! Siku mingi mbona! sikukwambia sasahiv nina mpenzi chelshit.......? yaani magot yote nilipigaaaaaaa, siku tutakayocheza pamoja namuhurumia maana naye atachezea......
 
Last edited by a moderator:
Liverpool msimu huu ni vibonde wetu, Pre season tulimpiga 3-1, mechi ya kwanza ligi tukampiga 3-0, Jana Anfield tukampiga 2-1, kama si Wazza kukosa penati, trend yetu ya tatu tatu ingeendelea.
 
The Mata Effect defined.
Angel Di Maria moved inwards during the game, popping in the thick of it to pick up a pass at the edge of the Liverpool box. He had already seen Mata who was alone on the right-hand side and so, he dinked a cute, perfect pass towards Mata. Mata, deciding he did not have time to turn his body or do some footwork decided to be acrobatic and leaped into the air, firing a shot towards Mignolet's right using his left leg... and in it went into the far corner.. Unstoppable.
Effect 1. Big Words were used: Athletic, Agile, Technique. Guts. Confidence. Skill. Awesomeness, Acrobatic.
Effect 2: Mata became a legend at OT and Anfield.
Effect 3: Di Maria continues assisting at (top) United and he's 2nd in the EPL after Fabregas.
Effect 4: Happiness.
Effect 5: Believe multiplied. ‪#‎believe‬ ‪#‎GGMU‬ ‪#‎uniteddamu‬
10881671_351214861739657_8163989497570514704_n.jpg
 
Have you noticed how well Chris Smalling has been playing of late? Since his red card, there's not much to complain about him. He scored those 2 goals and seems to be drinking the Philosophy herbs that are turning any player into a defender, dribbler and header under LvG.
Against Liverpool, Smalling totally bossed Sturridge until Rodgers had to take him off only to bring Balotelli and it was no better. Balotelli was so frustrated that he had to be held back by Liverpool fans to stop expressing his anger and getting the second yellow.
This is the second week we are appreciating his him coz, even without Rojo and Shaw, the defence has been ok. Do you think Smalling has improved? ‪#‎believe‬ ‪#‎GGMU‬ ‪#‎uniteddamu‬
11073995_351307848397025_7024029323836509436_n.jpg
 
Have you noticed how well Chris Smalling has been playing of late? Since his red card, there's not much to complain about him. He scored those 2 goals and seems to be drinking the Philosophy herbs that are turning any player into a defender, dribbler and header under LvG.
Against Liverpool, Smalling totally bossed Sturridge until Rodgers had to take him off only to bring Balotelli and it was no better. Balotelli was so frustrated that he had to be held back by Liverpool fans to stop expressing his anger and getting the second yellow.
This is the second week we are appreciating his him coz, even without Rojo and Shaw, the defence has been ok. Do you think Smalling has improved? ‪#‎believe‬ ‪#‎GGMU‬ ‪#‎uniteddamu‬
11073995_351307848397025_7024029323836509436_n.jpg

Very interesting.........
 
Ukiacha sisi washabiki wa man utd, wewe peke yako ndio ulikuwa unasema tutawafunga hawa Liverpool......wengine wote walijua jana ni kukamilisha ratiba tu mechi walishacheza midomoni mwao!


Mkuu mimi napenda mpira hasa....na mara nyingi hua siangalii tu timu yangu peke hua nafatilia na timu zingie kuweza kuona ni namna gani zinacheza na uimara wao uko wapi na je kiwango chao kinapanda na wanapata kujiamini kutokana na matokeo yao au vp....haya ni baadhi ya mambo ambayo hua naangalia sn mkuu.....Sasa ukija kwa timu yenu, hapa ningependa kuzungumzia michezo km miwili ya hivi karibu ambayo timu yenu ilicheza, Ukianzia ule wa Arsenal pamoja na kua mlipoteza ule mchezo mimi naweza kusema kua ni makosa ya uwanjani ambayo ndio yalisababisha hayo matokeo lkn km sio makosa basi mngerudiana na hawa Gunners tena. Pamoja na kupoteza ule mchezo timu iliendelea kuimarika na kucheza vzr tena katika idara zote...kuanzia kipa na mabeki na viungo na ata wafungajia pia ingawa wakati mwingine Van Gaal hua anakosea kupnga kikosi lkn hili nafikirk kwa sasa amekwisha kupata kikosi chake cha kuanza nacho kila mechi.....

Mchezo wenu na Spurs ulikua ni mchezo mzuri sn na ManU walirekebisha makosa yao yote yale waliofanya dhidi ya Arsenal na kuzidi kuimarika ktk kila idara wakati huo kwa LFC mambo hayakua hivo ingawa wao LFC walishinda lkn ushindi wao ulikua wa tabu sn tena walicheza ktk kiwango kibovu sn nakumbuka kabla ya mchezo wenu jana niliwahi kumuuliza Malafyale juu ya kiwango kibovu siku hiyo majibu aliojibu alisema lazima ManU wafungwe tu...Unajua mkuu Brendan Rodgers amekua anafanya makosa sn mara nyingi hasa anapoona kua ana mchezo mkubwa mbeleni, mara nyingi ata km ana mchezo mmoja kabla ya big game mbele basi timu yake itacheza chini ya kiwango sn huku wakiwa wanaifikiria hio big game, kuna rejea nyingi sn juu ya hili. Na pia huyu BR anapenda sn kuzifunga timu kubwa kitu ambacho anashindwa kuwaandaa wachezaji ktk hizo big game wacheze vzr na matokeo yake wanaambulia kupigwa tu....

Kitu ngine kurudi kwa Carrick kumeifanya ngome ya ManU kua imara sn na sasaivi anavopangwa na Herrera na juu kidogo Fellain basi pale kati panakua pagumu km wakati wa nguli Kean na Schols...nilimwambia jamaa yangu Malafyale kua Carrick atawapoteza watoto wako akaniambia Carrick mzee hana kitu, Anasahau kuishi kwingi ndio kuona/kujua mengi ata mvinyo unapokua na umri mkubwa ndio unazidi kua mtamu zaidi....kwa wale wazee wa bwaah wanajua hili...Lkn kz yake Carrick na Herrera imeonekana jana. Wale sijui kina Coutinho, Hendrson, Allen wooote walichemka....na kwa mara ingine jana ManU walicheza kitimu sn hasa ktk swala la ukabaji nakumbuka mpk Young alikua anashuka kuja kukaba na kumuacha Rooney na Mata tu kule mbele.....kwa kifupi mliwatawala sn hawa jamaa tangu mpira kuanza mpk kuisha....mlicheza vzr tena kwa kujiamini sn....na pia Blind naona yuko vzr sn pamoja na Valencia ila shida bado iko kwa beki za kati zina makosa kidogo na bado hawajajua nani awe mtokaji na nani abaki....

Na pia kocha wenu ana nidhamu sn anapokutana na timu kubwa approach yake mara nyingi ktk hizi timu kubwa anapokutana nazo amekua anafanya vzr sn ata km anapoteza hua ni makosa madogo tu, ni tofauti na kocha wa LFC yeye ana papara...hii inaisaidia sn ManU

Ni hayo tu kwa uchache yalinifanya nione kua hawa LFC mtawapiga tu.
 
Last edited by a moderator:
Lini umesilimishwa everlenk!? Ukitamka hili neno unatakiwa upige na goti la kuonyesha heshima 🙂🙂

Hahahahaaaa wewe binadamu vituko weweeee.......

Hahahaha!! Siku mingi mbona! sikukwambia sasahiv nina mpenzi chelshit.......? yaani magot yote nilipigaaaaaaa, siku tutakayocheza pamoja namuhurumia maana naye atachezea......
Darajani hautoki aiseee.....

Ntakupa limbwata utajikuta unashangilia tushinde.....lol😀😎:banghead:

Nimeaga kwetu lol.....limbwata darajani halifanyi kz lol......
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom