Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hahahahahaha lol! Ndo ushalishwa limbwata hivyo kazi kwako, subiri sasa uone habari yake. 🙂🙂

Hahahahaaaa wewe binadamu vituko weweeee.......


Darajani hautoki aiseee.....



Nimeaga kwetu lol.....limbwata darajani halifanyi kz lol......
 
Big up Ntuzu, analysis ya wazi

Niliwaambia washabiki wa Pools nilioko nao karibu kuwa game ya Tottenham na ile ya Arsenal zinatosha kabisa kuonesha uwepo wa Carrick na Herrera katikati utawavuruga

Na Jana wameshindwa wa-handle Madogo na naona Gerrard nje aliingia na mission ya kusimamisha hasa hasa movement za Herrera...unfortunately it did cost him big deal.....
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahaha lol! Ndo ushalishwa limbwata hivyo kazi kwako, subiri sasa uone habari yake. 🙂🙂

Kwani hata wewe si nilishakupa limbata ila sasahivi Honey Faith kanizidi Kete....lols halafu ulete ng'ombe hizo kwa Ntuzu



Halafu msalimie sana MillionHairs mwambie namsalimu kwa busu takatifu........huyu alitoa laana had kwa Barca.
 
Last edited by a moderator:
Eeh! Hivyo eeh! Sikujua kama niliwahi kupewa limbwata nawe, Honey Faith ni mke mtarajiwa wa mtu humu sitaki kuwa chanzo cha yeye kuachwa. Yeye ni gunners mwenzangu ambaye hutuletea bahati kubwa kwenye mechi zetu.

Kwani hata wewe si nilishakupa limbata ila sasahivi Honey Faith kanizidi Kete....lols halafu ulete ng'ombe hizo kwa Ntuzu



Halafu msalimie sana Million Hairs mwambie namsalimu kwa busu takatifu........huyu alitoa laana kwa Barca
 
Last edited by a moderator:
Big up Ntuzu, analysis ya wazi

Niliwaambia washabiki wa Pools nilioko nao karibu kuwa game ya Tottenham na ile ya Arsenal zinatosha kabisa kuonesha uwepo wa Carrick na Herrera katikati utawavuruga

Na Jana wameshindwa wa-handle Madogo na naona Gerrard nje aliingia na mission ya kusimamisha hasa hasa movement za Herrera...unfortunately it did cost him big deal.....

Asante sn mkuu.....

Ata Martin Skrtel anapaswa kufungiwa kwa kumkanyaga Digea kwa Makusudi kosa amabalo ni sawa km alilofanya Costa dhidi ya Can......hapa FA wanapaswa kutenda haki.
 
Last edited by a moderator:
Asante sn mkuu.....

Ata Martin Skrtel anapaswa kufungiwa kwa kumkanyaga Digea kwa Makusudi kosa amabalo ni sawa km alilofanya Costa dhidi ya Can......hapa FA wanapaswa kutenda haki.

Mkuu jamaa kashatiwa kitanzi....kuchomoka kwa violent conduct ni kwa ngamia kupenya tundu la sindano

How times changes....hizi games huwa nahofia Man ndo tunalambwa Red ila kimegeuka, jamaa mijazba na miguvu kibao
 
Mkuu jamaa kashatiwa kitanzi....kuchomoka kwa violent conduct ni kwa ngamia kupenya tundu la sindano

How times changes....hizi games huwa nahofia Man ndo tunalambwa Red ila kimegeuka, jamaa mijazba na miguvu kibao


Niliwaambia mashabiki wa LFC leo asubuhi lkn walinijibu hovyo tu.....na wengine kusema ata Rooney na yeye anastahili kupewa adhabu kwasababu alimchezea kipa wao rafu. Wakati ukiangalia rafu ya Skrtel kwa Digea ilikua ni mbaya sn kuliko ya Rooney kwa Mignolent......na Mignolent alijiagusha makusudi ili agalau mwamuzi atoe kadi nyekundu kwa Rooney ili wawe sawa....

Safi sn haki imetendeka......
 
Aiseee!! Source please........



Liverpool's Martin Skrtel charged over 'stamp' on David De Gea

Liverpool defender Martin Skrtel has been charged with violent conduct over an alleged stamp on Manchester United goalkeeper David De Gea.

The incident happened in injury time during the Reds' 2-1 Premier League defeat at Anfield on Sunday.

The Slovakia international, 30, has to respond by 18:00 GMT on Tuesday and the offence carries a three-match ban.

Referee Martin Atkinson did not see the incident but three former officials agreed it was a sending-off offence.

The trio made the decision after reviewing footage of the incident.

Unless Skrtel successfully appeals he will be banned for Liverpool's Premier League matches at Arsenal (4 April) and at home to Newcastle (April 13), plus the FA Cup quarter-final replay at Blackburn on 8 April.

Captain Steven Gerrard will also miss those matches
 
Back
Top Bottom