Dah Smalling kamficha kabisa Harry Kane
Week ijayo atawaficha Baloteli na Sturridge
Hopefully, LvG anampa Rafael match fitness ili arudi RB...
Man City hastahili kuwa wa pili!Kesho zinabaki points 4 tu kumfikia
Kumbuka leo Man U hawezi pata maximum point so nitakuwa nae sawa au nitampita na akija kwangu week ijayo hata LVG anajua anapoteza
Kwenye Blue: bado kama saa 1 mpira uanze : baada ya dakika 90 naomba uje kufuta comment yako hii
Kwenye nyekundu : Si unakumbuka tulichowafanya mechi ya kwanza? ndicho tutakachokifanya tena Anfield
Huu ubingwa upo open,ingekuwa enzi za SAF tungechukua kiulaini
Smalling ni CB mzuri akicheza na Rojo/Jones. Ila akikaa na Evans, ni balaa, anaboronga mbaya..
Nafasi ya pili haina ubishi.
Malafyale
Njoo uje kusahihisha post yako hapa plz
Nilikuambia lakini nini kitachotokea leo... bado point zetu tatu za kirahisi week ijayo
Loserpool hata kuwafikiria huwa siwafikirii, mechi niliyodhani ingekuwa ngumu ni hii ya leo tu. Loserpool, arsenal ngazi yetu kufikia malengo.
Loserpool hata kuwafikiria huwa siwafikirii, mechi niliyodhani ingekuwa ngumu ni hii ya leo tu. Loserpool, arsenal ngazi yetu kufikia malengo.
Evans alivyofungiwa safi sana , maana angekuja kuwapa sifa wakina Baloteli week ijayo
Ila kwa beki hizo za Smalling na Rojo/Jones... watatutafuta ubaya Anfield