Mnyakilambo7
Member
- Oct 15, 2014
- 63
- 27
Huyo RvP aendelee kuumwa tu Rooney aendelee kukaa mbele pale
Bado mapema...
rubaman
Sasa hivi tuna tilia mkazo mechi moja baada ya nyingine .... next Anfield
Ila si nyie mliokuwa mnasema msimu huu tutarudi nafasi yetu ya saba ?
Mechi zimebaki za kutosha kuwarudisha nafasi ya 7. Ila inaelekea mwaka huu mkajikongoja mkaishia katika nafasi za Europa League. Liverpool watawa-ovateki mechi chache zijazo.Bado naamini hivi.
Mechi zimebaki za kutosha kuwarudisha nafasi ya 7. Ila inaelekea mwaka huu mkajikongoja mkaishia katika nafasi za Europa League. Liverpool watawa-ovateki mechi chache zijazo.Bado naamini hivi.
Sisi nafasi yetu ya pili,kwa hiyo Liverpool watakuwa mabingwa
Leo mgonjwa kaweza kunywa uji basi anajiona kapona kabisa...
Hahahahaha!! Kwendraaaaaa!!! Kama sisi ni wagonjwa wewe ni mahututi kabisa, mtani fagilia basi kidogo lol
Asante sana ,hakuna tishio wa kutukosesha amani tena,wale wana hamu 3 zirudi, hazirudi ng'o
Hahah mtani umeshindwa kuangalia mechi?? Hahah ulijua hamtoki
Mkuu so ulisema tukitoka hii game upigwe ban?! Sasa unasibiri mini humu?! Naomba uwe brave muombe Invisible akupumzishe
FA inaugomvi na man u??