Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

ImageUploadedByJamiiForums1426431736.661949.jpg
 
Kwenye Red : Kwani hata wewe una ndoto hizo? mbona safari yenu ilishaishia Emirates... Ufaransa mnakwenda kukamilisha ratiba tuu

Kwenye Blue : Liver hana ujanja wa kumaliza juu ya Utd ... halafu nafikili bet hii ilikuwa ni $100 kila mtu

Itabidi Mods waanze kuzishughulikia hizi bets
Atapoteza bet mojawapo.Navyomjua huyu jamaa yakimzidiaga huwa anabadili topics juu kwa juu.Saints wakitumia chances vizuri wanaweza kushinda.Ila naona pumzi yao inakwisha jinsi dakika zinavyokimbia.
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Kikosi cha Utd cha leo

Man Utd: De Gea, Valencia, Jones, Smalling, Blind, Carrick, Herrera, Mata, Fellaini, Young, Rooney -

Subs
: Lindegaard, Rafael, Blackett, A Pereira, Januzaj, Falcao, Wilson
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Atapoteza bet mojawapo.Navyomjua huyu jamaa yakimzidiaga huwa anabadili topics juu kwa juu.Saints wakitumia chances vizuri wanaweza kushinda.Ila naona pumzi yao inakwisha jinsi dakika zinavyokimbia.

Southampton wakomaa kwenye dakika 10 hizi za mwisho

Hata draw kwao itakuwa poa tuu

Leo LVG asipomchezesha Falcao nitajua kuna tatizo kati yao
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Hata mimi sielewi kwanini?

Mwishoni ataondoka.... kama sijakosea nimesikia sehemu dogo ameanza kulalamika

Rafael,Mata,Januzaj,De Gea,Evans future yao hailewiki msimu ujao wanaweza wasiwepo
 
Rafael,Mata,Januzaj,De Gea,Evans future yao hailewiki msimu ujao wanaweza wasiwepo

Kuwapoteza Rafael, Mata na De Gea itakuwa ni bongo la kosa, ila ninahisi wataendelea kuwepo msimu ujao

Huu mpira wa Chelsea hauishi tuu?
 
Sasa tusubiri game ya pili kuwaona Spurs wakifanya vitu vyao na kutishia kibarua cha LV Girl. everlenk pole sana nasikia mupenzi wa Chelsea aliyeanza kupata nafuu matokeo haya ya leo amekuwa hoi tena 🙂🙂 Kila la heri kwenye huu mchapo msiwadharau hawa Spurs au itakula kwenu. Enjoy the game.
 
Last edited by a moderator:
Leta ushahidi wa hii bet....sikubet kwenye hilo game



Sikumbuki kubet hili pia...leta ushahidi....



Hii hata kesho nitasema na kubet tena...siyo msimu huu tu, hata msimu wa mwaka kesho nitabet tena...



Hili nalo nitasema hata kesho....na niliweka bet ya US$ 100 na Janjaweed

I'm sure kuna bets zinaendeana na niliyosema uliweka hapa ila unajua kuwa kuziperuzi kupata evidence ni kazi ngumu.Endapo pangekuwa na bookmark folders hapa ingekuwa vigumu kukana au kujidistance kama ulivyozowea.Nikiwa free nitazisaka evidence zote lol.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Nzi
Kuwapoteza Rafael, Mata na De Gea itakuwa ni bongo la kosa, ila ninahisi wataendelea kuwepo msimu ujao

Huu mpira wa Chelsea hauishi tuu?

De Gea lazima awachomoke tu...Real Madrid wanamtolea macho kinoma kama mrithi wa Casilas.
 
Back
Top Bottom