Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ebana unajua nafasi ya pili ipo available, baada ya ushindi wa leo tofauti na City itakuwa point 2
rubaman
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Nzi
Hahaha we jamaa kiboko

Ila ninajua kimoyomoyo unapenda sana kuwa Man Utd Fan
Afadhali niwe banyamulenge kuliko kuwa Man United fan.Nafasi ya 2 ni yetu nyie mpo mpo. Ebana unaangalia jinsi Southampton wanavyowatoa kamasi Chelsea so far ?
 
Afadhali niwe banyamulenge kuliko kuwa Man United fan.Nafasi ya 2 ni yetu nyie mpo mpo. Ebana unaangalia jinsi Southampton wanavyowatoa kamasi Chelsea so far ?


Yeah naangalia wachovu wa darajani wanavyokimbzwa na Southampton

Man City soon atakuwa wa tatu, kati yenu au sisi tutampita

Sio timu ya Malafyale
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Nzi
Yeah naangalia wachovu wa darajani wanavyokimbzwa na Southampton

Man City soon atakuwa wa tatu, kati yenu au sisi tutampita

Sio timu ya Malafyale

Wa pili Liverpool,wa 3 Arsenal na wa 4 mtagombea Man City vs Man U
 
Last edited by a moderator:
Starting XI:

DDG (GK)
Rafael (RB)
Blind (LB)
Smalling (CB)
Rojo (CB)
Herrera (CM)
Antonio (RW)
Mata (AM)
Falcao (CF)
Rooney (SS)
Januzaj (LW)

Subs:

Young
Fellaini
Carrick
Jones
Valdes

Hope leo tutacheka
 
Wa pili Liverpool,wa 3 Arsenal na wa 4 mtagombea Man City vs Man U

Mkubwa leo ulikuwa unakunywa kinywaji gani?

Maan ukiwa upo sober kichwani huwezi kusema Liverpool watamaliza wapili

Kumbuka kuna bet umeweka na Nzi timu gani itamaliza juu ya mwenzake
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Nzi
Yeah naangalia wachovu wa darajani wanavyokimbzwa na Southampton

Man City soon atakuwa wa tatu, kati yenu au sisi tutampita

Sio timu ya Malafyale

Kina Malafyale wanaweza kuwapita muda si mrefu, tatizo lao goal difference yao ni ndogo.Tusipodemadema (kama miaka iliyopita )tunaweza kumaliza wa 2, City walipewa nafasi baada ya nafasi kutetea kombe wameshindwa. Kweli wasipoangalia wataishia wa 3.
 
Last edited by a moderator:
Mkubwa leo ulikuwa unakunywa kinywaji gani?

Maan ukiwa upo sober kichwani huwezi kusema Liverpool watamaliza wapili

Kumbuka kuna bet umeweka na Nzi timu gani itamaliza juu ya mwenzake

Man City hastahili kuwa wa pili!Kesho zinabaki points 4 tu kumfikia

Kumbuka leo Man U hawezi pata maximum point so nitakuwa nae sawa au nitampita na akija kwangu week ijayo hata LVG anajua anapoteza
 
Last edited by a moderator:
Mkubwa leo ulikuwa unakunywa kinywaji gani?

Maan ukiwa upo sober kichwani huwezi kusema Liverpool watamaliza wapili

Kumbuka kuna bet umeweka na Nzi timu gani itamaliza juu ya mwenzake
Hivi bet hii inawahusisha Liverpool na Man United tu? Nzi ana bets kibao humu asije akajisahaulisha jinsi muda unavyokimbia
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Nzi
Man City hastahili kuwa wa pili!Kesho zinabaki points 4 tu kumfikia

Kumbuka leo Man U hawezi pata maximum point so nitakuwa nae sawa au nitampita na akija kwangu week ijayo hata LVG anajua anapoteza

Kwenye Blue: bado kama saa 1 mpira uanze : baada ya dakika 90 naomba uje kufuta comment yako hii

Kwenye nyekundu : Si unakumbuka tulichowafanya mechi ya kwanza? ndicho tutakachokifanya tena Anfield
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Kwenye Blue: bado kama saa 1 mpira uanze : baada ya dakika 90 naomba uje kufuta comment yako hii

Kwenye nyekundu : Si unakumbuka tulichowafanya mechi ya kwanza? ndicho tutakachokifanya tena Anfield

Mechi ya kwanza striker wetu tegemeo Baloteli ehehehehe

Hata ww sasa unajua Anfield utageuzwa mboga hapa unaongea kufurahisha wenzako tu ehehehehe
 
Bet zingine alisemaje?Bet ya Nzi na Malafyale lazima Nzi ale kichwa
Kama sikosei alibet abaniwe Arsenal akishinda old Trafford juzi.Abaniwe Arsenal akimaliza juu ya Man United, Atahamia Arsenal endapo tutabeba UCL msimu huu, abaniwe Liverpool akimaliza juu ya Man United. Jamaa ni master/multiple betting man.
 
Last edited by a moderator:
Kama sikosei alibet abaniwe Arsenal akishinda old Trafford juzi.Abaniwe Arsenal akimaliza juu ya Man United, Atahamia Arsenal endapo tutabeba UCL msimu huu, abaniwe Liverpool akimaliza juu ya Man United. Jamaa ni master/multiple betting man.

Kwenye Red : Kwani hata wewe una ndoto hizo? mbona safari yenu ilishaishia Emirates... Ufaransa mnakwenda kukamilisha ratiba tuu

Kwenye Blue : Liver hana ujanja wa kumaliza juu ya Utd ... halafu nafikili bet hii ilikuwa ni $100 kila mtu

Itabidi Mods waanze kuzishughulikia hizi bets
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Kama sikosei alibet abaniwe Arsenal akishinda old Trafford juzi.

Leta ushahidi wa hii bet....sikubet kwenye hilo game

Abaniwe Arsenal akimaliza juu ya Man United,

Sikumbuki kubet hili pia...leta ushahidi....

Atahamia Arsenal endapo tutabeba UCL msimu huu,

Hii hata kesho nitasema na kubet tena...siyo msimu huu tu, hata msimu wa mwaka kesho nitabet tena...

abaniwe Liverpool akimaliza juu ya Man United. Jamaa ni master/multiple betting man.

Hili nalo nitasema hata kesho....na niliweka bet ya US$ 100 na Janjaweed
 
Last edited by a moderator:
Kwenye Red : Kwani hata wewe una ndoto hizo? mbona safari yenu ilishaishia Emirates... Ufaransa mnakwenda kukamilisha ratiba tuu

Kwenye Blue : Liver hana ujanja wa kumaliza juu ya Utd ... halafu nafikili bet hii ilikuwa ni $100 kila mtu

Itabidi Mods waanze kuzishughulikia hizi bets

Bet na Janjaweed tulikubaliana kwamba atakayeshindwa atume hiyo US$ 100 kwa JF....

Pengine niiweke official kwa kumtag chifu Invisible na kumweleza kwamba mimi na Janjaweed tulibet kwamba kama Liverpool ikimaliza juu ya Man United msimu huu basi nitatoa US$ 100 kwa JF. Na kama ikawa kinyume chake, yaani United ikamaliza juu ya Liverpool, basi huyo bwana Janjaweed atoe hiyo US$ 100 kwa JF...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom