Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Khe khe kheeeeeeeeee anahitaji maji mengi huyo ili aweze kuiva 🙂🙂 Mupenzi wa Chelsea kapona au bado yuko kwenye "state of shock"? Mwambie BAK yule mshabiki maarufu wa Gunners anamsalimia sana 🙂🙂 na kumtakia kila la heri ili apate nafuu haraka.

Basi sawa...... Kwangu mimi Di Maria si mbaya basi tu hajapikwa vizuri na falsafa imekuwa ngumu kwake.
 
Khe khe kheeeeeeeeee anahitaji maji mengi huyo ili aweze kuiva 🙂🙂 Mupenzi wa Chelsea kapona au bado yuko kwenye "state of shock"? Mwambie BAK yule mshabiki maarufu wa Gunners anamsalimia sana 🙂🙂 na kumtakia kila la heri ili apate nafuu haraka.

Hahahahahahaha!!!! Na magadi kabisa awekewe maana ni mgumu kweli!!!
BAK umeniulia mupenzi yangu yaani bado haina nguvu kabisa, akiangalia na zile pampas mlizoziweka anazimia kabisa akicheki zile nguo za watoto akiangalia vijembe vyako hana hamu kabisa, hapa namlinda asije kuchukua kamba tu,lol
 
Last edited by a moderator:
Weka magadi kilo moja kabisa hahaahaa, muwahishe mupenzi Muhimbili kabla hajadedishwa na uwaambie wasimuache pekee yake hata kwa sekunde moja maana anaweza kabisa kucommitt suicide halafu ukawa huna mupenzi tena lol!

Hahahahahahaha!!!! Na magadi kabisa awekewe maana ni mgumu kweli!!!
BAK umeniulia mupenzi yangu yaani bado haina nguvu kabisa, akiangalia na zile pampas mlizoziweka anazimia kabisa akicheki zile nguo za watoto akiangalia vijembe vyako hana hamu kabisa, hapa namlinda asije kuchukua kamba tu,lol
 
Hivi unamaanisha nn? Ni kwamba huyo KANE ni mzuri sana kuliko hao three straiker ama? Ivi ulishafkiri angekuwa huyo KANE katika currently squad ya MAN U angefunga hayo magoli same chance given at this moment he playing at Totenham. Katika Football kuna factor nyingi( tactics and tactical bench, system of playing, etc) zinamfanya mchezaji kuperfome vema au vice versa
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Mtani sasa mbona unaniombea mabaya tena wakati mi nakutakia heri hadi CL,jitahidini basi hata FA mchukue, au nalo kombe mbuzi?

Hahaaa mtani pigana umtoe arsenal pale juu maana CL haiwezi yule 17yrs bila chochote :what::what::what:.

Teeehe teeehe kikombe kikombe tu hata kama ni cha kahawa 😀😀😀
 
Ungependa Kikosi cha leo dhidi ya spurs kiweje?

Starting XI:

DDG (GK)
Rafael (RB)
Blind (LB)
Smalling (CB)
Rojo (CB)
Herrera (CM)
Antonio (RW)
Mata (AM)
Falcao (CF)
Rooney (SS)
Januzaj (LW)

Subs:

Young
Fellaini
Carrick
Jones
Valdes
 
Starting XI:

DDG (GK)
Rafael (RB)
Blind (LB)
Smalling (CB)
Rojo (CB)
Herrera (CM)
Antonio (RW)
Mata (AM)
Falcao (CF)
Rooney (SS)
Januzaj (LW)

Subs:

Young
Fellaini
Carrick
Jones
Valdes

Kikosi kizuri kupata draw
 
Back
Top Bottom