Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,895
- 11,288
Unapenda sana kushinda kwa watu while wewe unafukuza watu kwenu.
everlenk dada yangu nakuonea sana huruma kwa wewe kukosa raha kila weekends!
Fanya maamuzi mazito njoo ufurahi na MAJOGOO ambao sasa ni vicheko tu
Mm namfunga Swansea kiurahisi kabisa Jumatatu;ww utammfunga Tots leo?
everlenk dada yangu nakuonea sana huruma kwa wewe kukosa raha kila weekends!
Fanya maamuzi mazito njoo ufurahi na MAJOGOO ambao sasa ni vicheko tu
Mm namfunga Swansea kiurahisi kabisa Jumatatu;ww utammfunga Tots leo?
LFC mmekua na jeuri sn siku hizi mmeshinda vimichezo kadhaa basi imekua shida......hapo nyuma mlikua kimya. Nyie LFC top four hamuingii ata iweje.
Yaani ni shidaaa!! Hizi mechi walizoshinda wenzetu wameona na EPL wameshachukua kabisa na sasahivi wako ligi ya CL mwakani na huko ubingwa wameshachukua lol.
Ana hasira na sisi zile bao 3 basi ana hamu kweli zirudi..... Kaka Malafyale hizo hazirudi ng'o sana sana unatupa nguvu tukuongezee zingine.
Malafyale anapenda sn kuongea....ila mimi kwa mtizamo wangu LFC hawawezi kuingia ktk top f four.
Mtani Jiandae kwa vijembe vyao watakushambulia kama mpira wa kona.......wenzako sasa hivi wako CL ya mwakani halafu wewe unawaambia nini, babito jiandae...lol
Mamito hawana lolote hawa...msimu huu ktk Capital One walinikazia sn lkn mwisho wake timu bora ndio ikashinda wao bado sn na ule mpira waliocheza na sisi hawawezi kuucheza kile ndio kilikua kiwango chao cha mwisho....najua mtawapiga tu hawa wala hawana shida hawa.
Hahahaha Malafyale nkamu gwangu uliko kughu? Njoo bana........... Ntuzu siku hizi Brendan Rogers kawa the 'special one' hawatakuelewa kabisa hizi mambo unazowaeleza, sasahivi wanakwambia kila atakayepita mbele yao ni kichapo tu utafikiri wenzao watakuwa wamesimama tu, Blackburn juzi kawabana mbavu kweli kweli lakini hawakumbuki ingelikuwa ni MANU ungesikia katimu ka mchangani kanawabana mbavu.
Kocha wangu anapigiwa chapuo akamtoe Ancelotti Madrid eheheheh
Nacheza CL nitakuwa wa pili EPL hapo May
Hahahaha!! The special one BR si hata Man city wanamtaka!!!! Madrid hawachukui vilaza hu hu hu!!!!
BR sio kilaza kama kocha wenu anaye mdhalilisha Falcao bila sababu za msingi!
Anampa jezi useless Wilson anamnyima Falcao na ndiyo maana CL mtatushangilia sana
Yaani ni shidaaa!! Hizi mechi walizoshinda wenzetu wameona na EPL wameshachukua kabisa na sasahivi wako ligi ya CL mwakani na huko ubingwa wameshachukua lol.
Loooh mtani mbona unatombea dua nzuri hivi 😀😀😀
Mtani nyie ni noumaa!!! Inabidi tuwaunge mkono tu......sasahiv mko CL ya mwakani!!!! Lol
Mtani nyie ni noumaa!!! Inabidi tuwaunge mkono tu......sasahiv mko CL ya mwakani!!!! Lol