Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

hakuna wa kulaumiwa kwa sababu Bayern ni timu kubwa inacheza soka maridadi, mbinu zao zimelipa, walijituma tangu mwanzo, kwanza Man U wana faida bado , wala hilo si tatizo kwao, tatizo kwao ni maumivu ya Rooney.
 
Hao ndio man u biashara asubuhi jioni mahesabu,ni goli zuri sana MAN U TUNAONGOZA B.MUNICH BILA WADAU WA MAN OYEEE MAMBO BADO TUENDELEE KUWAPA SHAVU.

Tehee Tehee Tehee,...Man anauza Beyern anpokea pesa mahesabu jioni Tehee Tehee Tehee...
 
hakuna wa kulaumiwa kwa sababu Bayern ni timu kubwa inacheza soka maridadi, mbinu zao zimelipa, walijituma tangu mwanzo, kwanza Man U wana faida bado , wala hilo si tatizo kwao, tatizo kwao ni maumivu ya Rooney.
umenena wewe
 
Mechi ilikuwa ngumu sana kwao bahati yao wamshukuru Van De Sar vinginevyo ingekuwa kama Basketball. Kuhusu zile subs Fagie hapaswi kulaumiwa manake alitaka zaidi mashambulizi ndo maana akawaweka hao jamaa. Piga ua wangefungwa tu.
 
yaani manure ni ROONEY?
Man U inamlipa Rooney zaidi ya auni 100,000 kwa wiki, ili aweze kufunga magoli, sasa kama unalipa pesa nyingi hivyo bila mtu kucheza hiyo si hasara....by the way ni mchezaji halali wa timu hiyo.
 
Mechi ilikuwa ngumu sana kwao bahati yao wamshukuru Van De Sar vinginevyo ingekuwa kama Basketball. Kuhusu zile subs Fagie hapaswi kulaumiwa manake alitaka zaidi mashambulizi ndo maana akawaweka hao jamaa. Piga ua wangefungwa tu.
kwani hujui kuwa Van De Sar ni mchezaji wa Man....alitimiza wajibu wake, ni kipa mzuri.
 
Mtawatandika old traford, nawaaminia man ingawa si timu yangu
Poleni lakini naamini mtawatoa hao bayern
 
kutegemea mchezaji mmoja kama ulimi ni tatizo.

jana walibanwa sana man, walicheza mpira wa ajabu sana, bora liende.
kwa kifupi safari ndo hiyo.......
 
hahaaaa hakuna sikunimesikia utamu kuangaliua mpira kama jana...Bayern Munchen walikuwa very calm ,composed and determined...goli la manu lilikuwa la bahati na hakika second leg hawachomoki watang'olewa tu.....hahaaaaa
 
Wadau, kwa wale waliongalia mechi jana... Jeh! Fergie alaumiwe kwa "substitute" zake au piga ua garagaza Man U walikuwa wakufungwa tu...????


piga ua galagaza LAZIMA wangefungwa tu,na ndio dua yangu jana wafungwe vibaya awa masheuzi MAN U,,,kazi kubebwa tu
Iam sooooo happy today n pasaka itakua safi sana kwangu
ziiiiiiiiii
 
Back
Top Bottom