Mvina
JF-Expert Member
- Aug 2, 2009
- 997
- 34
Hasa kipindi cha pili wamecheza vizuri sana tena kwa kuonana kuliko hawa wenzetu hapa.Bado chance ni half half dk 90 zilizobaki ndo atakuwa muamuzi.Bayern kumbe wazuri bana..Man inaeza ikatolewa.
Hasa kipindi cha pili wamecheza vizuri sana tena kwa kuonana kuliko hawa wenzetu hapa.Bado chance ni half half dk 90 zilizobaki ndo atakuwa muamuzi.Bayern kumbe wazuri bana..Man inaeza ikatolewa.
yeah!in reverse
Hasa kipindi cha pili wamecheza vizuri sana tena kwa kuonana kuliko hawa wenzetu hapa.Bado chance ni half half dk 90 zilizobaki ndo atakuwa muamuzi.
Hahahahaha! Nimekusoma mpwa!Rooney sijui atakuwa nje kwa mda gani lol hata kama ni wiki moja bado itasaidia ha ha!
So long as Alex yuko fit hatuna shida na Rooney, atakabwa tu.Naona wapenzi wa Chelsea mnakenua injury ya Rooney..Weekend mapigo yenu ya moyo yatapungua kidogo..😀
Rooney twisted his knee khe khe kheeeeeeee naona mafioso jino wazi. Fergi karidhika kwamba Manure walizidiwa kete leo .... ...
Mpwa umeona kwa macho ya ndani cyo! Vinginevyo huwezi kuelewa huh.Hahahahaha! Nimekusoma mpwa!
It's very unprofessional kushangilia injury ya mchezaji wa timu pinzani. Mbona sijaona mtu akifurahia Fabregas alipoumia?sawa mzee all the best kesho,rooney kaumia ankle,but usisahau rooney ni bingwa wa kupona mapema
Nawatakia mema hapo kesho majirani.Kesho game itakuwa ngumu sana,namauachia Mungu...hahaaaaaaaaa....Tsubiri dakika 90 tu bana
Nimeiona, nikaunganisha dots.Mpwa umeona kwa macho ya ndani cyo! Vinginevyo huwezi kuelewa huh.
It's very unprofessional kushangilia injury ya mchezaji wa timu pinzani. Mbona sijaona mtu akifurahia Fabregas alipoumia?
sawa mzee all the best kesho,rooney kaumia ankle,but usisahau rooney ni bingwa wa kupona mapema
Kesho mambo safi wala usiwe na matatizo njoo uangalie ngoma safi, hakuna mambo ya kukamiana.