Aza
JF-Expert Member
- Feb 23, 2010
- 1,700
- 233
Mechi ilikuwa ngumu sana kwao bahati yao wamshukuru Van De Sar vinginevyo ingekuwa kama Basketball. Piga ua wangefungwa tu.
asante mpenzi
Mechi ilikuwa ngumu sana kwao bahati yao wamshukuru Van De Sar vinginevyo ingekuwa kama Basketball. Piga ua wangefungwa tu.
Hukuna siku niliyo furahia kama jana baada ya Man U kula kichapo .
kweli mlikua na kiu cha muda mreeefu kuiona Man u IKIFUNGWA.piga ua galagaza LAZIMA wangefungwa tu,na ndio dua yangu jana wafungwe vibaya awa masheuzi MAN U,,,kazi kubebwa tu
Iam sooooo happy today n pasaka itakua safi sana kwangu
ziiiiiiiiii
Man U kwishnei these teams will make it to the semis Arsenal, Bayern, Inter and Lyon mark my words...
sikweli kuwa Man ilifugwa kwa sababu ya wachezaji wazee, hiyo ni excuse isiyo na maana, Bayernmunich waliwafunga man kwasababu walicheza vyema zaidi, walijituma zaidi, walijipanga zaidi, walikua katika kiwango bora zaidi.Imefika wakati Sir Alex kuacha kuwategemea wachezaji wazee kama Garry Neville,Ryan Giggs na Paul S,Manchester inatakiwa kusajili wachezaji vijana kuziba mapengo ya vibabu tusijeiga tabia ya AC Milan.
Ha ha haaaaaaaaaa.... Machinjioni...!!!timu ilicheza hovyo hovyo tu,kweli tulistahili kupigwa vya kutosha.had it not be for that dutch goalie tungekuwa tumetolewa.but as it stands hata wao bayern wanajua we stand a better chance to advance hiyo tarehe saba pale machinjioni.![]()
We will bounce back at Old Trafford
Man U till I die