Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

attachment.php


Eddy Murphy and That cher wanarudi kwenye uongozi!
Bila kuwasahau wazee wa kazi hapo juu
Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Shukrani Mkuu ushindi wa jana ulikuwa mnono sana. Khe Khe Khe Khe dua la Bulldog kamwe halimpati binadamu utaona tunaendelea kutesa tu na nyie #wasagasumu na #mburukenge kuendelea kununa.

Hivi arsenal na misimu yake 10 bila kombe, mnajua tatizo lipo wap?? Sisi tumeshajua kuwa beki mbovu, na nyie je??
 
Hii timu misiba tu kila siku!

Cc: Nzi

Misiba tupu nini,hebu ngoja nikuulize:-
1.kabla ya msimu wa mwaka jana bingwa mtetezi alikuwa nani?
2.Arsenal ni moja ya timu kubwa(kama ambavyo wao wanavyodai)ina miaka mingapi inacheza msimu mzima kutafuta chance ya kucheza UCL pasippo kubeba ndoo ya EPL,lakini mbona hamuongei?
3.Liverpool ambao wamefanya biashara ya kimangimeza wakidhani ya mwaka jana yatajirudia mbona hamuongei?
4.hivi unajua Man U iko katika hali ya kuyumba kama zinavyoyumba kiuchumi nchi za ulaya,je ulishawahi kusikia zimedrop forever?
Sipendi bishana na mashabiki wa Chealsea na Man City timu ambazo zimepanda ligi miaka ya 2000' baada ya kushuka huko nyuma
 
Last edited by a moderator:
Misiba tupu nini,hebu ngoja nikuulize:-
1.kabla ya msimu wa mwaka jana bingwa mtetezi alikuwa nani?
2.Arsenal ni moja ya timu kubwa(kama ambavyo wao wanavyodai)ina miaka mingapi inacheza msimu mzima kutafuta chance ya kucheza UCL pasippo kubeba ndoo ya EPL,lakini mbona hamuongei?
3.Liverpool ambao wamefanya biashara ya kimangimeza wakidhani ya mwaka jana yatajirudia mbona hamuongei?
4.hivi unajua Man U iko katika hali ya kuyumba kama zinavyoyumba kiuchumi nchi za ulaya,je ulishawahi kusikia zimedrop forever?
Sipendi bishana na mashabiki wa Chealsea na Man City timu ambazo zimepanda ligi miaka ya 2000' baada ya kushuka huko nyuma


Hizo zilishabaki Story!

Tuongelee sasa! Mbona misiba kila siku?
 
Ahsante sana Mkuu Wacha1, hizi picha zimenifanya nicheke sana. Hakuna ligi tena duniani kama EPL maana mpaka utani wa mashabiki kwenye vyombo vya habari mbali mbali yakiwemo magazeti na mtandao ni burudani ya aina yake lol!!!

1411378843141_wps_11_Louis_van_Gaal_the_head_c.jpg


What's the matter? OOOps Juan Mata


1411372602308_wps_1_Manchester_United_manager.jpg


Dhahama hii itaisha lini?


1411383478934_Image_galleryImage_LEICESTER_ENGLAND_SEPTEMB.JPG


Why why did i join the sinking ship! Why why ... .


1411379377695_wps_16_Manchester_United_s_Ashle.jpg


Young Diver khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee



Jokes aside lets look at the figures ... ...


article-2764893-219335D600000578-809_640x397.jpg


So far so good! Phew khe khe khe khee
khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeee


1411314591135_Image_galleryImage_Manchester_United_virals_.JPG



1411314368307_wps_40_Manchester_United_virals_.jpg



1411314384428_wps_41_Manchester_United_virals_.jpg



1411314745642_wps_53_Mario_Balotelli_Tweet_Lei.jpg



1411314403326_wps_42_Manchester_United_virals_.jpg



1411314512735_Image_galleryImage_Manchester_United_virals_.JPG




1411314475842_wps_44_Manchester_United_virals_.jpg


Loughing all the way to the bank ... ..... ..


1411314522152_wps_47_Manchester_United_virals_.jpg


Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


1411314537503_Image_galleryImage_Manchester_United_virals_.JPG


Van Gaffe in action .... ... ..



 
Last edited by a moderator:
Timu yenye safu ya washambuliaji wasiokuwa butu haifungi goli la tatu kwenye dakika ya 57 na kubweteka kuanza kukimbia kimbia kiwanjani huku na kule wakati washambuliaji wa timu pinzani wakifunga goli nne "nyota wa mashambulizi" wa MANU hawakufanya lolote la kuhakikisha wanatoka kiwanjani vifua mbele. Khe Khe Khe Khe Khe lol!!!! Naona bado umenuna ukimuona mdudu Nzi msalimie sana mwambie aiepuke mizoga asiyoijua ni hatari kwa afya yake 🙂

Hivi arsenal na misimu yake 10 bila kombe, mnajua tatizo lipo wap?? Sisi tumeshajua kuwa beki mbovu, na nyie je??
 
1411451483869_wps_1_Manchester_United_s_Adnan.jpg


Aise tumekalia kuti kavu, chacha tifanyeje bana
Huyu Van Gaffee hatoi brown envelopes bana
chi unaona waamuzi wanavyotuminya ... .. .
khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


1411451941010_wps_11_LEICESTER_ENGLAND_SEPTEMB.jpg


Naona Fungie ndiye ananisaliti hapa ... .. ..
Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


1411451714533_wps_6_Jamie_Vardy_of_Leicester_.jpg


Vardy celebrates ... ...


1411451900740_wps_9_Manchester_United_s_Engli.jpg


Wine Romney complains .... .... .. .


1411451739625_wps_7_Stadium_soreboard_shows_t.jpg


Mambo ya King Power hayooooooooooooooooooooooo ... .. .


1411451859383_Image_galleryImage_LEICESTER_ENGLAND_SEPTEMB.JPG


Leonardo Ulloaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Blame game ... ....


1411374936209_wps_7_Manchester_United_winger_.jpg


Louis van Gaal splashed out £60m to bring Argentina winger Angel di Maria to the club from Real Madrid

From this ... .... ... .... ...

1411418207924_wps_40_LEICESTER_ENGLAND_SEPTEMB.jpg


A-di Maria is substituted by Louis van Gaal with Manchester United level at 3-3 against Leicester

To this one ... ... ...


article-2765758-218C99B400000578-759_314x241.jpg



....... .... useless .... ... b . a .s. tard!
Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

1411464995366_wps_3_SPT_GCK_210914_Barclays_P.jpg


khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
msimu uliopita mlikuwa mmecheza na liverpool , Man City,Chelsea Swansea, Crytal palace katika mechi tano za kwanza ila mlikuwa na pointi nyingi kuliko sasa na hamjakutana na timu hizo hapo juu hata moja , mlimwonea moyes
 
Kwani United ni so special to the extent kuwa haiwezi kulinganishwa na timu nyingine?

Au ni vibaya ni vibaya kufanya comparative analysis?

Yes, very special at the moment.

20 EPL titles, no other team has 20 titles, right?!

Richest club in UK, no other team is richer than United, right?

And the list can go on to show how special is Manchester United FC.
 
#WakaangaSumu na shombo zao...uwanja wenu mwageni shombo weeeee, siye wengine shombo ndiyo chakula chetu 😎😎😎
 
Back
Top Bottom