![]()
Eddy Murphy and That cher wanarudi kwenye uongozi!
Bila kuwasahau wazee wa kazi hapo juu
Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Acha majungu wewe.......... uwe na safari njema afande.....
Sikupatii picha jinsi ulivyofurahi tulivyofungwa mpaka basi!!!....ni mapito tu haya yatapita......
Shukrani Mkuu ushindi wa jana ulikuwa mnono sana. Khe Khe Khe Khe dua la Bulldog kamwe halimpati binadamu utaona tunaendelea kutesa tu na nyie #wasagasumu na #mburukenge kuendelea kununa.
Misiba tupu nini,hebu ngoja nikuulize:-
1.kabla ya msimu wa mwaka jana bingwa mtetezi alikuwa nani?
2.Arsenal ni moja ya timu kubwa(kama ambavyo wao wanavyodai)ina miaka mingapi inacheza msimu mzima kutafuta chance ya kucheza UCL pasippo kubeba ndoo ya EPL,lakini mbona hamuongei?
3.Liverpool ambao wamefanya biashara ya kimangimeza wakidhani ya mwaka jana yatajirudia mbona hamuongei?
4.hivi unajua Man U iko katika hali ya kuyumba kama zinavyoyumba kiuchumi nchi za ulaya,je ulishawahi kusikia zimedrop forever?
Sipendi bishana na mashabiki wa Chealsea na Man City timu ambazo zimepanda ligi miaka ya 2000' baada ya kushuka huko nyuma
![]()
What's the matter? OOOps Juan Mata
![]()
Dhahama hii itaisha lini?
![]()
Why why did i join the sinking ship! Why why ... .
![]()
Young Diver khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Jokes aside lets look at the figures ... ...
![]()
So far so good! Phew khe khe khe khee
khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeee
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Loughing all the way to the bank ... ..... ..
![]()
Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
![]()
Van Gaffe in action .... ... ..
Hivi arsenal na misimu yake 10 bila kombe, mnajua tatizo lipo wap?? Sisi tumeshajua kuwa beki mbovu, na nyie je??
Kwani United ni so special to the extent kuwa haiwezi kulinganishwa na timu nyingine?
Au ni vibaya ni vibaya kufanya comparative analysis?
#WakaangaSumu na shombo zao...uwanja wenu mwageni shombo weeeee, siye wengine shombo ndiyo chakula chetu 😎😎😎