Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Niko safarini mkuu bize sana.....will be back though!


Turudi kwenye mada..."Juma alipewa machungwa matano halafu akamgawia dada yake Lusi machungwa matatu. Juma alibaki na machungwa mangapi?"
Acha majungu wewe.......... uwe na safari njema afande.....

Sikupatii picha jinsi ulivyofurahi tulivyofungwa mpaka basi!!!....ni mapito tu haya yatapita......
 
Hii kitu ni tamu, kuliko kuumia mwishoni mwa ligi, ngoja tumalize mapema. Chekeni msubilie kilio.
 
Mi naamini MANCHESTER UNITED muda si mrefu tutaanza zile amshaamsha zetu.maana kuna wengine humu wanatusumbua tu hawazijui hata historia za timu zao,mfano shabiki wa Chelsea na Man City wala wasiongee kwanza timu zao zimepanda ligi miaka ya 2000' baada ya kushuka daraja.Leo hii MAN Uinatereza kidogo mnaanza kuongea mengi mbona sisi tuna mengi ya kusema lkn hatusemi?.Kama kucheza UCL ndo kipimo cha ukubwa wa timu basi mashabiki wa Arsenal mkae kimya maana nyie hamjawahi hata kuligusa labda kuliona pinda mnadhalilushwa na Barca.
ONE LOVE IN JAH PEACE ALL RASTAFARIE
 
MANCHESTER UNITED WAIJIA JUU FA

na mwandishi wetu MO11
carington Manchester

Klabu ya Manchester united wamefikisha malalamiko yao juu ya bodi ya shirikisho la soka la uingereza kwa kupuuza madai yao ya kuomba kucheza msimu mzima uliobaki na timu ya Queen park rangers.
Malalamiko hayo yenye namba 5-3/leiMan ambayo yalifikishwa mara ya kwanza tarehe 21-9-2014 ambayo yalitupiliwa mbali na shirikisho hilo.
Malalamiko hayo ni mara ya pili mfululizo kwa siku mbili yamekuja baada ya kichapo cha paka mwizi kilichotokea uwanja wa leicester city. Licha ya man u kuongoza magoli 3-1 mpaka dakika ya 57 mambo yaligeuka na kupokea kichapo hicho.
pia kuna tetesi pia wameomba magoli aliyoshinda chicharito akiwa na Madrid yaongezewe japo wapate suluhu ya magoli 5-5.

statistic
match 5
point 5
jana wamefungwa goli 5
Tukutane tena kesho


Adios
 
Last edited by a moderator:
MANCHESTER UNITED WAIJIA JUU FA

na mwandishi wetu MO11
carington Manchester

Klabu ya Manchester united wamefikisha malalamiko yao juu ya bodi ya shirikisho la soka la uingereza kwa kupuuza madai yao ya kuomba kucheza msimu mzima uliobaki na timu ya Queen park rangers.
Malalamiko hayo yenye namba 5-3/leiMan ambayo yalifikishwa mara ya kwanza tarehe 21-9-2014 ambayo yalitupiliwa mbali na shirikisho hilo.
Malalamiko hayo ni mara ya pili mfululizo kwa siku mbili yamekuja baada ya kichapo cha paka mwizi kilichotokea uwanja wa leicester city. Licha ya man u kuongoza magoli 3-1 mpaka dakika ya 57 mambo yaligeuka na kupokea kichapo hicho.
pia kuna tetesi pia wameomba magoli aliyoshinda chicharito akiwa na Madrid yaongezewe japo wapate suluhu ya magoli 5-5.

statistic
match 5
point 5
jana wamefungwa goli 5
Tukutane tena kesho


Adios

viloba+mataputapu=ulichocoment
 
Last edited by a moderator:
MANCHESTER UNITED WAIJIA JUU FA

na mwandishi wetu MO11
carington Manchester

Klabu ya Manchester united wamefikisha malalamiko yao juu ya bodi ya shirikisho la soka la uingereza kwa kupuuza madai yao ya kuomba kucheza msimu mzima uliobaki na timu ya Queen park rangers.
Malalamiko hayo yenye namba 5-3/leiMan ambayo yalifikishwa mara ya kwanza tarehe 21-9-2014 ambayo yalitupiliwa mbali na shirikisho hilo.
Malalamiko hayo ni mara ya pili mfululizo kwa siku mbili yamekuja baada ya kichapo cha paka mwizi kilichotokea uwanja wa leicester city. Licha ya man u kuongoza magoli 3-1 mpaka dakika ya 57 mambo yaligeuka na kupokea kichapo hicho.
pia kuna tetesi pia wameomba magoli aliyoshinda chicharito akiwa na Madrid yaongezewe japo wapate suluhu ya magoli 5-5.

statistic
match 5
point 5
jana wamefungwa goli 5
Tukutane tena kesho


Adios

Jamaa akimchungulia
 

Attachments

  • 1411391718960.jpg
    1411391718960.jpg
    35.1 KB · Views: 96
Last edited by a moderator:
Mi naamini MANCHESTER UNITED muda si mrefu tutaanza zile amshaamsha zetu.maana kuna wengine humu wanatusumbua tu hawazijui hata historia za timu zao,mfano shabiki wa Chelsea na Man City wala wasiongee kwanza timu zao zimepanda ligi miaka ya 2000' baada ya kushuka daraja.Leo hii MAN Uinatereza kidogo mnaanza kuongea mengi mbona sisi tuna mengi ya kusema lkn hatusemi?.Kama kucheza UCL ndo kipimo cha ukubwa wa timu basi mashabiki wa Arsenal mkae kimya maana nyie hamjawahi hata kuligusa labda kuliona pinda mnadhalilushwa na Barca.
ONE LOVE IN JAH PEACE ALL RASTAFARIE

Tunawasubiri mshangilie
 

Attachments

  • 1411391921305.jpg
    1411391921305.jpg
    39.1 KB · Views: 82
Ushasema wengine...hapa tunaongelea United..

Kwani United ni so special to the extent kuwa haiwezi kulinganishwa na timu nyingine?

Au ni vibaya ni vibaya kufanya comparative analysis?
 
That's too low for me to keep on discussing this with you.

In your ears, of course.

Rafa is one the best RBs in the league, and you call him mayai.

Kama angekuwa one of the best RB defenders in the league asingesema hivi: Manchester United defender Rafael admits he faces a challenge to prove he is worthy of remaining in Louis van Gaal's side - Premier League - Football - The Independent

The problem at United now is the CB, nothing else.

Na right back pia unless Rafael proves that he is worth in that position. At the moment, he isn't na yeye anakubaliana na hilo.

If you saw the foul that Vardy had on Rafa before the penalty award, then you keep on arguing the same, then you are another #MkaangaSumu

He was simply not competitive enough. He should have shown his physical presence there na siyo kuguswa na kupepesuka.
 
1411378843141_wps_11_Louis_van_Gaal_the_head_c.jpg


What's the matter? OOOps Juan Mata


1411372602308_wps_1_Manchester_United_manager.jpg


Dhahama hii itaisha lini?


1411383478934_Image_galleryImage_LEICESTER_ENGLAND_SEPTEMB.JPG


Why why did i join the sinking ship! Why why ... .


1411379377695_wps_16_Manchester_United_s_Ashle.jpg


Young Diver khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee



Jokes aside lets look at the figures ... ...


article-2764893-219335D600000578-809_640x397.jpg


So far so good! Phew khe khe khe khee
khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeee


1411314591135_Image_galleryImage_Manchester_United_virals_.JPG



1411314368307_wps_40_Manchester_United_virals_.jpg



1411314384428_wps_41_Manchester_United_virals_.jpg



1411314745642_wps_53_Mario_Balotelli_Tweet_Lei.jpg



1411314403326_wps_42_Manchester_United_virals_.jpg



1411314512735_Image_galleryImage_Manchester_United_virals_.JPG




1411314475842_wps_44_Manchester_United_virals_.jpg


Loughing all the way to the bank ... ..... ..


1411314522152_wps_47_Manchester_United_virals_.jpg


Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


1411314537503_Image_galleryImage_Manchester_United_virals_.JPG


Van Gaffe in action .... ... ..



 
Back
Top Bottom