Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nipo Mkuu naflip channels huku na kule, naangalia pia mchapo wa Tottenham na WBA ila sana niko hapa kule bado ni 0-0


Jana nimesahau kukupongeza. Hongers aisee. Machungu ya Dortmund mliyamalizia jana. Ila UCL ndo kwaheri
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Hawa tanesco wanataka niwape rushwa nin!!! ona wamekata umeme!!! daaaahh!!
 
Nafikiri jamaa anaongelea suala la mpira kuwa nje kabla krosi ya goli haijapigwa. Ingekuwa United imefunga baada ya mpira kuwa nje #WakaangaSumu wangemwaga shombo humu balaa...


Nimekupata kaka. Uzuri enzi za SAF zimepita, webb amestaafu. Wanakosa cha kusema
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Kwan maria na van persie wamefunga magoli ya aina gan??

ImageUploadedByJamiiForums1411306322.145338.jpg

Unaona?
 
Last edited by a moderator:
Shukrani Mkuu ushindi wa jana ulikuwa mnono sana. Khe Khe Khe Khe dua la Bulldog kamwe halimpati binadamu utaona tunaendelea kutesa tu na nyie #wasagasumu na #mburukenge kuendelea kununa.


Haya. Mkitoka officially utakuja niambia
 
Last edited by a moderator:
Haki ya mama tukimpata mtu kama Hummels au CB dizaini yake...tutakuwa tupo kamili gado kuliko maelezo....
 
Back
Top Bottom