Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

10665095_687806737954384_6840196410806581849_n.jpg
 
Kama ilifanya kazi yake vyema na pochi nene iliyotumika kuwasajili £151 million basi wangefunga goli nyingine tatu na hivyo mngeshinda 6-5. Mlifunga goli lenu la tatu kwenye dakika ya 57 zikiwa zimebaki dakika 33 mpira kwisha lakini baada ya hapo mlikuwa ni mdebwedo tu huku wapinzani wenu katika dakika hizo 33 wakazifumania nyavu zenu mara nne na nyie ZERO, ZILCH, SIFURI. Kwa matokeo hayo bado timu nzima ilikuwa mdebwedo na si defence pekee yake.

Kama ingekuwa haina upungufu wa mwamuzi, basi yagewezekana
 
Louis van Gaal says United threw away the chance of victory at Leicester, noting: "We created a lot of chances and made superb goals. But you have to do that for 90 minutes, not 60."


Safu ya ushambulizi imefanya kaz yake vyema kwa kutengeneza goli tatu na attempt kadhaa zilizokuwa za hatari,ila morali yao ilishushwa na wazembe wachache ,so mimi siwez kuwalaumu!!
 
Poleni kwa kichapo. Hii ni EPL, baadhi ya washabiki wa Manu walidai Arsenal wachovu sababu walidraw hapo The King Power stadium na wao eti ndo walikuwa wameanza ligi pale OT wiki ilopita na QPR. Kuhusu refaree, leo kalikoroga, ila kila timu ya EPL itaonewa na kupendelewa. Manu walitakiwa wa-react ila hakukuwa na hiyo spirit. Poleni sana. Football is soo unfair sometimes when you have that talents at ur disposal and still u end up with such a debacle. At the end of the day, NIMEFURAHI na poleni sana.
 
Mnatakiwa muamke mapema, mechi sita zijazo, tatu kati ya hizo sita ni Everton, Chelsea, Mancity. Muanze ligi mapema, la sivyo mtajikuta mnaanza January wakati wengine wanaanza kumaliza.
 
Poleni kwa kichapo. Hii ni EPL, baadhi ya washabiki wa Manu walidai Arsenal wachovu sababu walidraw hapo The King Power stadium na wao eti ndo walikuwa wameanza ligi pale OT wiki ilopita na QPR. Kuhusu refaree, leo kalikoroga, ila kila timu ya EPL itaonewa na kupendelewa. Manu walitakiwa wa-react ila hakukuwa na hiyo spirit. Poleni sana. Football is soo unfair sometimes when you have that talents at ur disposal and still u end up with such a debacle. At the end of the day, NIMEFURAHI na poleni sana.

Arsenal ni wachovu hata kama walidraw na Leicester,ngoja tukikutana ndio utajua kuwa Arsenal ni vibonde kwa Man United
 
Back
Top Bottom