Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Weye ndio unaona si kweli. Wao wamefunga goli nne bila majibu baada ya kuongoza kwa 3-1 pamoja na majina makubwa sana katika safu yenu ya mashambulizi mlishindwa kuongeza magoli na wao wasiokuwa na majina makubwa kwenye safu ya mashambulizi wakawachapa 4-0. It is total failure for the whole team.

Sio kweli only defenders tu ndo wametuangusha


hata kama wachezaji wetu walishndwa kuhml presha ya mchezo baada ya leicester kufufuka,kitu ambacho ni makosa kwa timu kubwa kama man u,

experience is the best teacher,acha kuchonga sana!
 
Rojo akipanda anajisahau sana kurudi
Thats y its better akastick kwenye central defending,kuliko pembeni akimpata winga machachari ndo inakuwa hatari zaidi

Sijakataa mkuu. Kila team inakuwa kwenye situation kama hyo. Cha msingi ukiangalia sasa hivi EPL marefa wanakosa umakini sana. Angalia mechi ya chelsea na man city sasa hiv
katika kuanalzye makosa ya timu yetu,we have to exclude referee hata kama kweli alijiangusha ila mtu akikabiwa kutoka nyuma mara nyng huwa faulo,na forward akiwa mjanja kdogo anajitegesha

Rafael haya makosa ni kawaida kwake kibaya zaidi huwa hajifunzi,wapinzani huwa wanamprovoke kutafuta penati au red card(Kuna game na Bayern Ribbery alimprovoke akapewa red game ikabadilika tukatolewa ,game vs Chelsea Luiz akafanya hivyo hivyo)
nakumbuka yote hayo mkuu,he has to grow up now,time for learning kwake ishaisha tunataka afanye kazi tunayomtuma nothing else
 
Weye ndio unaona si kweli. Wao wamefunga goli nne bila majibu baada ya kuongoza kwa 3-1 pamoja na majina makubwa sana katika safu yenu ya mashambulizi mlishindwa kuongeza magoli na wao wasiokuwa na majina makubwa kwenye safu ya mashambulizi wakawachapa 4-0. It is total failure for the whole team.

Safu ya ushambulizi imefanya kaz yake vyema kwa kutengeneza goli tatu na attempt kadhaa zilizokuwa za hatari,ila morali yao ilishushwa na wazembe wachache ,so mimi siwez kuwalaumu!!
 
Mpaka sasa, furaha ya man utd ni pale inapofungwa, ikitokea imeshinda ni huzuni kwa mashabiki, maana kila inapofika mechi, wanawaza tu kwamba watafungwa goli ngapi.
 
attachment.php



Who's the next manager .... .. .
 
Kama ilifanya kazi yake vyema na pochi nene iliyotumika kuwasajili £151 million basi wangefunga goli nyingine tatu na hivyo mngeshinda 6-5. Mlifunga goli lenu la tatu kwenye dakika ya 57 zikiwa zimebaki dakika 33 mpira kwisha lakini baada ya hapo mlikuwa ni mdebwedo tu huku wapinzani wenu katika dakika hizo 33 wakazifumania nyavu zenu mara nne na nyie ZERO, ZILCH, SIFURI. Kwa matokeo hayo bado timu nzima ilikuwa mdebwedo na si defence pekee yake.

Safu ya ushambulizi imefanya kaz yake vyema kwa kutengeneza goli tatu na attempt kadhaa zilizokuwa za hatari,ila morali yao ilishushwa na wazembe wachache ,so mimi siwez kuwalaumu!!
 
Back
Top Bottom