Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
Pia inabidi ikumbukwe kuwa Man Utd imeingia mkabata wa £750m na Adidas kwa miaka kumi. Hii ni sawa na £75m kwa mwaka.
Lakini kuna condition moja kwenye mkataba inasema kutakuwa na reduction ya asilimia 30 sawa na karibia £20m kama watashindwa ku-qualify for the Champions League kwa misimu miwili kuanzia msimu wa 2015/16.Terms za huu mkataba zinamwongezea presha LVG.
Pia akina Glazer wanataka ku-raise £80m kwa kuuza shares na bei itakuwa nzuri kama Man Utd itakuwa inafanya vizuri on the pitch.
Pamoja na hayo ni biashara kubwa sana team ikiwa inashiriki UCL. Hapo directors wa United wanaona kitu kinachomiss