Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Usajili wa Makampuni umeisha, sasa tunaamia kusajili wachezaji: Swansea imetuamusha, Man U mtaipenda tu.
 
Vituko vya VAN GAAL
Huna kiungo mzuiaji, una mabeki uchochoro. Umeuza vidiki na evra kwa sababu zisizoeleweka. Afu unakuja kumteua Runinga kuwa kepteni. Ndo mana Swansea wamewafanyia kitu kibaya jana.
Timu za maana zote nahodha anakuwa beki au kipa. Wakishindwa sana wanampa 'kisheti'. Hawa watu muda wote wanakuwa wanaona jinsi jabulani linavopigwa mbele so anaeza kupanga vijana wake wakae mkao wa kukaba. Asa huyu mzee Van Gaal aka Van Ugali anamteua vipi fowadi kuwa nahodha wakati timu ina majanga ya ulinzi na kiungo? R.I.P MANYUUU
 
article-2726774-20965F5000000578-233_964x386.jpg


Once upon the time ... .... ... ... .... ...
Khe khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Vidic aliamua kuondoka hata kabla LvG hajajua angekuwa manager wa Man U. Evra alishachoka, same applies to Ferdinand. Japo wangemuacha mmoja ingesaidia kuweka experience.

Ukishatoka out of #BIG4 kurudi mbinde, let's see how this season unfolds.

Gooner..
 
.an U Beki zao JONES, BLANKET, SMALING NA YOUNG MLITEGEMEA NINI HATA KIPRE TCHETCHE HAWAAAACHI
 
Vituko vya VAN GAAL
Huna kiungo mzuiaji, una mabeki uchochoro. Umeuza vidiki na evra kwa sababu zisizoeleweka. Afu unakuja kumteua Runinga kuwa kepteni. Ndo mana Swansea wamewafanyia kitu kibaya jana.
Timu za maana zote nahodha anakuwa beki au kipa. Wakishindwa sana wanampa 'kisheti'. Hawa watu muda wote wanakuwa wanaona jinsi jabulani linavopigwa mbele so anaeza kupanga vijana wake wakae mkao wa kukaba. Asa huyu mzee Van Gaal aka Van Ugali anamteua vipi fowadi kuwa nahodha wakati timu ina majanga ya ulinzi na kiungo? R.I.P MANYUUU

Hizi pumba huwa mnazitoa wapi ,kama hujui ni bora ukae kimya.Vidic hajauzwa,aliamua kuondoka mwenyewe baada ya mkataba wake kuisha na alitangaza hilo msimu uliopita wakati kocha alikuwa Moyes.Kwa hiyo Captain angekuwa De Gea au Evans ndio timu isingefungwa? Unakumbuka timu yako ya Arsenane Henry na RVP (Foward) walikuwa makapteni
 
Hizi pumba huwa mnazitoa wapi ,kama hujui ni bora ukae kimya.Vidic hajauzwa,aliamua kuondoka mwenyewe baada ya mkataba wake kuisha na alitangaza hilo msimu uliopita wakati kocha alikuwa Moyes.Kwa hiyo Captain angekuwa De Gea au Evans ndio timu isingefungwa? Unakumbuka timu yako ya Arsenane Henry na RVP (Foward) walikuwa makapteni

mkuu ukitaja henry ni bora uanze na king henry wa uingereza.

malkia nahisi unamjua
 
Kuwa na uvumilivu na timu yako mkuu!
League bado changa sana.

YNWA
 
Last edited by a moderator:
Mtachonga sana mahasimu ila huu msimu tunachukua ubingwa league ndo imeanza kaa en mkao wa kulaa van gal habahatishi..
 
Back
Top Bottom