deus maziku
Member
- Aug 4, 2014
- 11
- 3
Asante kwa ufafanuzi huo
Mkuu Nzi nimeangalia mechi yote ni kweli Van Gal anatakiwa kusajili wachezaji wa kiwango cha juu kabisa kwanza defence ni kichekesho,pili kiungo ni lazima tatu mfumo wake wa 3 4 1 2 sidhani kama utaleta matunda yanayokusudiwa.
Kwanza lazima LVG asajili defender wa kiwango cha kimataifa (experience) CB leo nimeona defence ikicheza hovyo utadhani wapo mashindano ya umiseta.Kama atapenda kushindana na timu imara au atapenda kuingia top 4 lazima asajili mabeki wawili mmoja kati na mwingine baki 3.
Lazima asajili kiungo wa kati hili tatizo aliliacha Fergie bado mpaka leo Man haina mchezaji muhimu wa kati.
Mfumo anaotumua LVG si sahihi katika ligi ya uk.
Chifu, nilimsikia LvG akisema kuwa anatumia mfumo huo kwa sababu hana wachezaji katika nafasi zinazopwaya, hivyo imemlazimu kutumia mfumo huo..
​Mkuu mie nilidhani game inaanza saa hizi kumbe ilianza mapema.
Hahahahaha lol!!!! Mapema kiasi hiki!? LoL!!!