Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
Umeadimika sana Manda usije kupotea kama Icadon
Van Gaal ni kocha ni kocha mkali sana waliofanya nae kazi wanalijua hilo sidhani kama anaweza kukubali kununuliwa wachezaji asiowataka.Moyes alishindwa kuhandle wachezaji wakubwa wengi walicheza chini ya kiwango,Van Gaal alishakutana na Giggs na Woodward nafikiri alishapendekeza wachezaji anaowataka.Cha msingi ni wachezaji chipukizi
Na sisi tutengeneze class of 2014