Bagabeach
JF-Expert Member
- Jun 30, 2021
- 1,435
- 3,015
Saiv angekuwa ashamchukua Anderson, tonal, Alvarez na Rodri😂😂Hapo tuu ndo nilikua namkumbuka Ed Woodward
Sema tutafika levels za majina makubwa nahisi msimu ujao.
INEOS wanaenda Kwa steps
Saiv angekuwa ashamchukua Anderson, tonal, Alvarez na Rodri😂😂Hapo tuu ndo nilikua namkumbuka Ed Woodward
we can do things in the transfer market that other clubs can only dream of😃😃 what a bold line aseee enzi za mwamba kama mwamba😃😃Saiv angekuwa ashamchukua Anderson, tonal, Alvarez na Rodri😂😂
Sema tutafika levels za majina makubwa nahisi msimu ujao.
INEOS wanaenda Kwa steps
Tulikosa direction tu, lakini yule jamaa Kwa sasa anatufaawe can do things in the transfer market that other clubs can only dream of😃😃 what a bold line aseee enzi za mwamba kama mwamba😃😃
Kila team inamwaga pesa sisi tumekua kama Tasaf sasa😃😃 wachumi kwelTulikosa direction tu, lakini yule jamaa Kwa sasa anatufaa
Nangojea mkuuNasikia tetesi man u inaweza kuuzwa mwaka huu...ngonj nitafute taarifa kamili
Unasemaje baada ya mechi ya pili?Mkuu tatizo lenu mashabiki mpo serious kuliko team yenu shida inaanzia hapo 🤣 Tieleman mmemsajili maji ya jioni, Santos alikuwa hapati namba team yetu kwanu Kawa starter na mapambio kibao, Baleba injury prone haiwezi kucheza mechi 4 mfululizo bila injury na akipata injury anakaa muda mrefu alafu mmetoa pound 65m dah! Kule mbele hamna striker wa maana striker mliomsajili kwa pesa nyingi Sesko anakaa benchi huyu ni Kocha wa pili anampiga benchi alafu mkiitwa manyumbu wanaona kama tunawanyanyapaa.
Muda ukifika haya yatafanyika maana Man u kutumia hela sio shida kwaoNtYga wamiliki wa Manchester united Hawana ambition kabisa na inaonekana Ruben amorim alikua ni tishio kwao kwasababu hakutaka kukubali upuuzi wao ndio maana wakamtimua. Michael Carrick yeye ni yes man yaani ni aina ya wale puppet wasiotaka kuwapa presha wamiliki hata kidogo kila kitu yeye anaona ni sawa tu.
Ona Manchester city dakika za mwisho wametoa £125 kwa Enzo fernandes, hapa unaona kabisa wenzetu wapo serious na mafanikio ya timu. Hata ukiangalia viungo wote tuliosajili ukimtoa baleba. Tielemans na Santos hawakua chagua la kwanza kama ni kubana bajeti basi pia tungekua tushasajili angalau LB,RB na ST. Kituko ni kumuacha Crysencio Summerville kisa Marcus Rashford aisee hii kitu iliniuma sana.
Ngoja tuone mda utaongea.
Sasa mkuu Ipswich ndio team yakutambia serious?? Hapo ujakutana na Newcastle, Nottingham forest, Brighton hama EvertonUnasemaje baada ya mechi ya pili?
Ipswich sio kipimo kabisa!Sasa mkuu Ipswich ndio team yakutambia serious?? Hapo ujakutana na Newcastle, Nottingham forest, Brighton hama Everton
Yaani wanapiga bomu monchwari halafu wanajisifu wameuaIpswich sio kipimo kabisa!
😀😀😀😀 fala.nyie hampo siriaz saiv ndio mnalalamika mabeki si mngekuja chelsea tulikuwa na mabeki kibao kina disasi tosin na badiashile si tungewauzia bei nzuri kabisa wanacheza popote hao
🤣🤣🤣😀😀😀😀 fala.
Sema hii timu naiona top 4Yaani wanapiga bomu monchwari halafu wanajisifu wameua
Wewe jamaa yangu, unaipenda sana Chelsea mpaka sometime huna reasoning🤣🤣🤣
For me namuona Spurs au Liverpool kuliko Man United, Spurs Wana kikosi kizuri wakikaa sawa watakuwa hatari sanaSema hii timu naiona top 4
Wanakaa sawa lini. Kikosi kizima hakijuani. Spurs hata top six hawatakuwepoFor me namuona Spurs au Liverpool kuliko Man United, Spurs Wana kikosi kizuri wakikaa sawa watakuwa hatari sana
Spurs na Liverpool watakuwa juu yenu, Spurs hawana michuano ya ulaya so Wana nafasi kubwa ya kukaa sawa kwasababu Wana kikosi kizuri kuliko chenu me nawaambia ukweliWew
Wewe jamaa yangu, unaipenda sana Chelsea mpaka sometime huna reasoning
Top four itakuwa ngumu sana msimu huu
Spurs hawashiriki Michuano ya Ulaya na Wana kikosi kizuri sana so Wana nafasi kubwa ya kukaa sawa tofauti na Man u ambao hawana kikosi kipana chenye u BoraWanakaa sawa lini. Kikosi kizima hakijuani. Spurs hata top six hawatakuwepo
Kuna wakati utafika na Kila timu itakayocheza na man utd itaonekana ni mbovu....huyo Ipswich ingekuwa amemfunga utd mngebadili lugha hapaSasa mkuu Ipswich ndio team yakutambia serious?? Hapo ujakutana na Newcastle, Nottingham forest, Brighton hama Everton