Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Everton vs Man utd
 

Attachments

  • Screenshot_20260906_154149_FotMob.jpg
    Screenshot_20260906_154149_FotMob.jpg
    61.3 KB · Views: 1
Sio kwamba nawachukulia poa nawaambia ukweli tatizo lenu wabishi na hamtaki kukubaliana na ukweli.Man u ina sehemu nyingi zenye weakness yaani mpaka Leo mnamtegemea Maguire ambaye kwenye top 6 hawezi kuanza, hamna mbadala wa Luke Shaw, kwenye middle pale angalau mino ila wengine ni average Tieleman mmempaka maji ya jioni,Santos kwetu alikuwa namba Hana ila kwenu ana uhakika wa namba, Baleba mzuri ila injury prone, Wachezaji wenu wawili ndio Nina weza kusema Wana ubora ni Bruno na Mbeumo, Striker wa maana huna alafu unataka ushindane na Chelsea ambaye yule Estevao ni fundi haswa akija team yenu anaingia moja kwa moja kwenye kikosi lakini kwenu ni sub ni kwasababu ya Quality ambayo tunayo, Arsenal huiwezi, Man City huiwezi, Spurs nishakuambia same to Liverpool hiyo ndoto ya kuingia top 4 inatoka wapi?
Bagabeach unakumbuka kauli yangu hii
 
Ngoja nikujibu kitaalamu uchezaji wa Hull City na Ipswich upo tofauti. Hull City wanacheza defensive game na wakipata mpira wanatumia counter attack ndio maana akawasumbua wakati Ipswich wanacheza offensive game ikawa hawana quality wa kusumbua team mkubwa ndio maana wanaruhusu magoal mengi kwa namna hiyo nikasema sio kipimo halisi kwenu kutokana na uchezaji wao.Nyinyi mnashida kwenye kuzifungua team zinazodefence na ndio maana mkastruggle kupata matokeo na mnakosa quality hiyo ya kufanya hivyo kwa maana hiyo game nyingi kubwa mnashida kwasababu nyinyi mnakuwa underdog mnakaa nyuma mnasubiri counter attack ila mkikuta na team zinazodefence na zina quality kubwa kule mbele mnapata shida kupata matokeo.
 
Sio kwamba nawachukulia poa nawaambia ukweli tatizo lenu wabishi na hamtaki kukubaliana na ukweli.Man u ina sehemu nyingi zenye weakness yaani mpaka Leo mnamtegemea Maguire ambaye kwenye top 6 hawezi kuanza, hamna mbadala wa Luke Shaw, kwenye middle pale angalau mino ila wengine ni average Tieleman mmempaka maji ya jioni,Santos kwetu alikuwa namba Hana ila kwenu ana uhakika wa namba, Baleba mzuri ila injury prone, Wachezaji wenu wawili ndio Nina weza kusema Wana ubora ni Bruno na Mbeumo, Striker wa maana huna alafu unataka ushindane na Chelsea ambaye yule Estevao ni fundi haswa akija team yenu anaingia moja kwa moja kwenye kikosi lakini kwenu ni sub ni kwasababu ya Quality ambayo tunayo, Arsenal huiwezi, Man City huiwezi, Spurs nishakuambia same to Liverpool hiyo ndoto ya kuingia top 4 inatoka wapi?
Bagabeach unakumbuka kauli yangu hii
Umeandika pumba kama mtu aliyetoka kutawaziwa gongo akalewa kiuno hivi estavio mwenye magoli 2 msimu uliopita ndio quality player. Wewe msimu ulioisha si nimekupiga nje ndani. Ungeandika huu upuuzi ukiwa umeshacheza na United na ukashinda hapo ningekuelewa.
 
Back
Top Bottom