Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu hakunaga kitu inaniuna kama kuendelea kuona Bado Tunamtegemea Shaw na Dalot kule nyuma nazani umeona leo uchezaji wake dhidi ya Ipswich Yule Winger Fatuwa bwana Luke alikuwa anamwacha atangulize mpira na anashindwa kumdhibiti kwa Mbio kusema kweli tu leo tumecheza vibaya though Licha ya Goli nyingi ila sioni Timu ya kupambana kule Klabu Bingwa.

Ukizingatia sioni Stricker yenye maamuzi we Backup stricker Zirkzee kweli?..? Beki ya kushoto yenye akili timamu nayo hatuna, ujue kuna muda unafika ninajionea Huruma mwenyewe msimu huu ila ninapenda jinsi hizi changamoto zinavyojionyesha mapema kabla Dirisha halijafungwa.

Natoa kongore zangu kwa Maino dogo ananikoshaga sana anapoza dimba pale kati kama mtu mzima vile bila kusahau Le Captein en PFA winner Bruno Fernandes.

Nyie mnamuonaje Bwana Makame maana mimi sioni kitu ni kama anatukaba mwanetu 😄😁.
Rashford kwa gemu ya leo kajituma sana mkuu,maino huyu dogo yupo vizuri nataka baleba apone nae arudi tuone moto wake.

Kule klabu bingwa tumepangwa na bayern tukiwa nyumbani old Trafford ili tusitafute sababu.
 
Dirisha linafungwa kesho tarehe Moja, labda tutaona surprise ya LB, CB au striker
Yule palmer wa Chelsea tufanye namna awe replacement ya Bruno miaka ya badae kdg
 
Back
Top Bottom