Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Maguire



Ila hii ni handball lakini V.A.R imeamua ni own goal



Penalti ya Bruno na goli
 
GOAL! A terrible mistake allows Bruno to slot it into the net! Man Utd 1-1 Ipswich Town


1788108518871.gif


1788108493082.gif
 
Brian Mbeumo assist kutoka kwa Bruno




Dorgu naye alijaribu
 
fuentte Bagabeach Mr Mike NtYga niliwahi kusema Manchester United kuanza ligi na kucheza UEFA championship league tukiwa na shaw bila kusajili beki wa kushoto tutakuja kuhaibika ikitokea tumepangwa na bayern au Barcelona. Sasa yametimia mpaka sasa hatujasajili beki ya kushoto. Luke shaw vs Michael olise hapa kusipokua na red card sijui tu.
Mkuu hakunaga kitu inaniuna kama kuendelea kuona Bado Tunamtegemea Shaw na Dalot kule nyuma nazani umeona leo uchezaji wake dhidi ya Ipswich Yule Winger Fatuwa bwana Luke alikuwa anamwacha atangulize mpira na anashindwa kumdhibiti kwa Mbio kusema kweli tu leo tumecheza vibaya though Licha ya Goli nyingi ila sioni Timu ya kupambana kule Klabu Bingwa.

Ukizingatia sioni Stricker yenye maamuzi we Backup stricker Zirkzee kweli?..? Beki ya kushoto yenye akili timamu nayo hatuna, ujue kuna muda unafika ninajionea Huruma mwenyewe msimu huu ila ninapenda jinsi hizi changamoto zinavyojionyesha mapema kabla Dirisha halijafungwa.

Natoa kongore zangu kwa Maino dogo ananikoshaga sana anapoza dimba pale kati kama mtu mzima vile bila kusahau Le Captein en PFA winner Bruno Fernandes.

Nyie mnamuonaje Bwana Makame maana mimi sioni kitu ni kama anatukaba mwanetu 😄😁.
 
Olise ameshacheza dhidi ya man utd, na sidhani kama kuna mechi ambayo hajafunga.
Olise sasa hivi ni tatizo kwa beki yoyote, ila kwaajili ya kuongeza intensity ya timu, inabidi wasajili LB wa kuingia moja kwa moja kwenye mfumo.

Baada ya hapo ni CB mmoja wa uhakika, Anyway Man utd ataingia kama underdog kwenye hiyo mechi.
Ni winga tishio kwa mabeki ila sio Nuno Mendes kaka
 
Left backs wapo wengi, japo inafaa zaidi EPL proven km hall, lkn wanaofaa wapo wengi
Castello lukeba wa rb Leipzig ni top notch, pia tuna madogo wapo academy wanaoweza kusaidia plus Patrick dorgu
mkuu hawa hawa ma dogo wa u21 huwa nawaona na huyu Dorgu mapepe acheni basi kurahisisha mambo tutakuja tuchakazwe mpaka tuishiwe appetite ya kuchat humu mimi ninawaambia.
 
Lewis hall ni uhakika ila newcastle hawawezi kumuachia kwa price ya kitumbua, itakuwa 80+ pesa ambayo united wataichungulia sana.

Usajili wa lewis ni kama ule wa shaw kipindi yupo soton, he was young and talented na price yake kwa young LB ilishangaza kwa kipindi kile, mpaka morinho alitema mbovu sana, kipindi glazer wanatoa ile pesa, shida ilikuja ni injury tu.

Je Ineos watatoa 80+ kwa hall?
Watoe tu walisema dirisha hili watatumia zaidi ya Pauni milioni 250 hawajafikisha na muda huo usisahau wame0ata ka mgao kwa Greenwood kama sikosei Pia wamebana Pauni milioni 45 ya Rasmus, hatutaki ligi zichanganye tuanze kulia Tungejua.
 
Back
Top Bottom