Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 21,815
- 44,725
Sawa mkuu ngoja tuone..Man u wanakaza sana wakicheza na timu kubwa.
Sawa mkuu ngoja tuone..Man u wanakaza sana wakicheza na timu kubwa.
Bado leo carrick amefeli tileman na mainoo wote ni box-box midfielders! Timu imekosa mtu wa kukontroo mechi. Santos ilibidi acheze na mainoo.Man wanapata tabu sana kwa Timu zilizopanda daraja ngoja waje wakutane na wakurungwa kwa jinsi wanavyocheza watakimbizwa mno..
Huruma sio malezi, tatizo letu la kuweka mbele utu ndio linalotuponza, yaani hawa Ipswich leo walikua wanakula chuma hata 10 ni vile tu ubinaadamu tumeuweka mbele.Ulipotelea wapi wewe jamaa
Mkuu hakunaga kitu inaniuna kama kuendelea kuona Bado Tunamtegemea Shaw na Dalot kule nyuma nazani umeona leo uchezaji wake dhidi ya Ipswich Yule Winger Fatuwa bwana Luke alikuwa anamwacha atangulize mpira na anashindwa kumdhibiti kwa Mbio kusema kweli tu leo tumecheza vibaya though Licha ya Goli nyingi ila sioni Timu ya kupambana kule Klabu Bingwa.fuentte Bagabeach Mr Mike NtYga niliwahi kusema Manchester United kuanza ligi na kucheza UEFA championship league tukiwa na shaw bila kusajili beki wa kushoto tutakuja kuhaibika ikitokea tumepangwa na bayern au Barcelona. Sasa yametimia mpaka sasa hatujasajili beki ya kushoto. Luke shaw vs Michael olise hapa kusipokua na red card sijui tu.
Ni winga tishio kwa mabeki ila sio Nuno Mendes kakaOlise ameshacheza dhidi ya man utd, na sidhani kama kuna mechi ambayo hajafunga.
Olise sasa hivi ni tatizo kwa beki yoyote, ila kwaajili ya kuongeza intensity ya timu, inabidi wasajili LB wa kuingia moja kwa moja kwenye mfumo.
Baada ya hapo ni CB mmoja wa uhakika, Anyway Man utd ataingia kama underdog kwenye hiyo mechi.
mkuu hawa hawa ma dogo wa u21 huwa nawaona na huyu Dorgu mapepe acheni basi kurahisisha mambo tutakuja tuchakazwe mpaka tuishiwe appetite ya kuchat humu mimi ninawaambia.Left backs wapo wengi, japo inafaa zaidi EPL proven km hall, lkn wanaofaa wapo wengi
Castello lukeba wa rb Leipzig ni top notch, pia tuna madogo wapo academy wanaoweza kusaidia plus Patrick dorgu
Watoe tu walisema dirisha hili watatumia zaidi ya Pauni milioni 250 hawajafikisha na muda huo usisahau wame0ata ka mgao kwa Greenwood kama sikosei Pia wamebana Pauni milioni 45 ya Rasmus, hatutaki ligi zichanganye tuanze kulia Tungejua.Lewis hall ni uhakika ila newcastle hawawezi kumuachia kwa price ya kitumbua, itakuwa 80+ pesa ambayo united wataichungulia sana.
Usajili wa lewis ni kama ule wa shaw kipindi yupo soton, he was young and talented na price yake kwa young LB ilishangaza kwa kipindi kile, mpaka morinho alitema mbovu sana, kipindi glazer wanatoa ile pesa, shida ilikuja ni injury tu.
Je Ineos watatoa 80+ kwa hall?