Bagabeach
JF-Expert Member
- Jun 30, 2021
- 1,414
- 2,945
Huna Cha kutushauri kuhusu UEFA wewe arsenalHapa sioni wa level yenu myayemmudu. Labda kidoogo huyo Saba sijui nane. Ila wengine wote watawachapa kinoma na mtashika mkia kundi lenu.
Huna Cha kutushauri kuhusu UEFA wewe arsenalHapa sioni wa level yenu myayemmudu. Labda kidoogo huyo Saba sijui nane. Ila wengine wote watawachapa kinoma na mtashika mkia kundi lenu.
Hatuwezi kulia, man united me naamini tuna timu nzuri kuliko Yako.Level umlifikia ni mbaya wenzenu wanafanya Usajili wa maana nyinyi mmelizika baadae hatutaki lawama
Mchezaji wako Santos kwetu alikuwa anakaa benchi ndio ushindani na mimiHatuwezi kulia, man united me naamini tuna timu nzuri kuliko Yako.
Tusubrie game W5
Sie namba sita yetu ni balebaMchezaji wako Santos kwetu alikuwa anakaa benchi ndio ushindani na mimi
Mashabiki wa man u mpo serious kuliko wachezaji wenu shida inaanzia hapaSie namba sita yetu ni baleba
Weka combined X1 ya Chelsea na man u uone ipi ni timu bora
Na uangalie msimu uliopita nani alikuwa juu
Ni Imani binafsi lkn sio lzm nawe uaomini kama mm kaka
ILa wew jamaa😁Tutapiga kama ngomaView attachment 3658512
Na mwaka huu tunabeba ubingwa kwa penetration pass...🤣🤣🤣 Hakuna rangi tutaacha kuona, kweli Manjesta inachekesha kama sio timu yako.
Hakuna kitu inanaiuma na imenikosesha kabisa hamu ya Mpira kama Arsenyau kubeba kombe kwa dhulma, yaani timu haipati points 3 mpaka wapate mipira ya kona halafu wamsongesonge kipa ndio wapate goli.
Arsenyau mmeinajisi Epl kiasi kwamba imepoteza mpaka mvuto.
Mbuzi katoliki nyie.