Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mchezaji wako Santos kwetu alikuwa anakaa benchi ndio ushindani na mimi
Sie namba sita yetu ni baleba
Weka combined X1 ya Chelsea na man u uone ipi ni timu bora
Na uangalie msimu uliopita nani alikuwa juu
Ni Imani binafsi lkn sio lzm nawe uaomini kama mm kaka
 
🤣🤣🤣 Hakuna rangi tutaacha kuona, kweli Manjesta inachekesha kama sio timu yako.
Hakuna kitu inanaiuma na imenikosesha kabisa hamu ya Mpira kama Arsenyau kubeba kombe kwa dhulma, yaani timu haipati points 3 mpaka wapate mipira ya kona halafu wamsongesonge kipa ndio wapate goli.
Arsenyau mmeinajisi Epl kiasi kwamba imepoteza mpaka mvuto.
Mbuzi katoliki nyie.
Na mwaka huu tunabeba ubingwa kwa penetration pass...
 
Back
Top Bottom