Lao moja tayari, bado yenu matatuKosi la kutajika la tajiri mkubwa bwenyeye Sir Jim wanashuka leo
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁
My prediction
Manchester united 3 Vs Ipswich town 1
Watapigwa sana wale
Pigaaaa
Uaaaaaa
Chinjaaaa
fyekaaaa
malizaaaa
View attachment 3660115
Ipswich tayari tumepata goli letu moja, bado magoli yenu matatu 😂Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁
My prediction
Manchester united 3 Vs Ipswich town 1
Watapigwa sana wale
Dorgu hajaanza.Dorgu pale alikuwa anaruka ili afanye nini?
View attachment 3660155
Na hapa tumekoswa lapili
View attachment 3660156
Basi atakuwa ni MainoDorgu hajaanza.
Wakikutana na arsenal wanakula mkonoMan wanapata tabu sana kwa Timu zilizopanda daraja ngoja waje wakutane na wakurungwa kwa jinsi wanavyocheza watakimbizwa mno..
Kwani ukiondoa casemiro na hawa walioingia hii man u inatofauti gani na ya msimu jana? Au unamaanisha nini mkuu
Man u wanakaza sana wakicheza na timu kubwa.Wakikutana na arsenal wanakula mkono