Gidabed
JF-Expert Member
- Jan 29, 2023
- 734
- 1,316
Hakika mkuu, nitashangaa sana kama Manchester united wataingia sokoni kumtafuta kocha mwingine.Exactly huyu Carrick anaendelea kujifunza taratibu, Makosa lazima afanye hakuna namna, kinachohitajika ni kumpa wachezaji wenye profile sahihi na sio kumrundikia mizigo isiyoeleweka...
Tatizo linalokuja INEOS wanampa mzigo wote Carrick wakitegemea maajabu wakati mpira hauko hivyo sasa hivi, ili ushindane lazima uwe na jicho la kuona vipaji na kibunda kiwe mfuko wa shati...