Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Exactly huyu Carrick anaendelea kujifunza taratibu, Makosa lazima afanye hakuna namna, kinachohitajika ni kumpa wachezaji wenye profile sahihi na sio kumrundikia mizigo isiyoeleweka...

Tatizo linalokuja INEOS wanampa mzigo wote Carrick wakitegemea maajabu wakati mpira hauko hivyo sasa hivi, ili ushindane lazima uwe na jicho la kuona vipaji na kibunda kiwe mfuko wa shati...
Hakika mkuu, nitashangaa sana kama Manchester united wataingia sokoni kumtafuta kocha mwingine.
 
Arteta hakupata miaka 3 kwa sababu tu Arsenal waliamua kumuamini kipofu. Alionyesha progression 8→5→2→2→2→1. Sasa Carrick apewe miaka 3 kwa msingi gani? United waanze kwanza kuonyesha hiyo progression, si kuomba miaka 3 kabla hata ya kujua kama project inaelekea popote.
 
Back
Top Bottom