King faisal
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,980
- 4,942
Kwa hali ilivyo hapo hata ungesema Manchester United vs ruvu shooting bado tungefungwa tu, kwakweli hii club cjui tu imelogwa na nani!Hizi fixtures mbona kama zimekaa kimkakati sana
Vasco da Gama kweli atatoboa salama hapa? View attachment 3457442
