Jamaa wamemtonya asitabiri🤣Bila utabiri wa allypipi hii game ishakua ngumu kwa burnley
Aje Baleba bila kumuuza Bruno, Bruno awe anaanzia tu benchi au awe ana altenate na Cunha. Shida ni pale tunapofosi kuwatu.ia wote.Ni muda wa Man Utd kumuuza Bruno, vuta Baleba hapo afu Cunha azime 10 pembeni Mbeumo na Amad pale Juu Sesko
Naunga mkono hojaTuendelee kula mtori nyama zipo chini
Jamaa wamemtonya asitabiri![]()


wamefanya game iwe ngumu kwa burnley
Timu ngumu hii hutakiwi kuyumbishwa na media plus fans muacheHuyu kocha nadhani ni mbishi kuliko ETH, ni sikio la kufa.
Umfute kazi halafu ulete kocha mwenye mfumo mpya ili uanze mojaAmorim asiposhinda leo, afutwe kazi, hamna kusubiria mambo yaharibike sana kama kwa ETH.
Aendelee tu kusajili wachezaji wanofit kwenye mfumo wake mbona mambo yatakaa sawaKufundisha hawa wachezaji wa maniyuu ni kazi Sana aisee.....🙌