Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 12,487
- 35,640
Manchester United bingwa epl 2025/2026
Bingwa wa kwenye dream league labdaManchester United bingwa epl 2025/2026
Wampatie kwanza midfielder mmoja ndio tuanze kumhukumu. Imagine kiungo chako kina Casemiro pumzi inakata mapema sana, Ugarte sijawahi kumuelewa na rafu zake za kipuuzi ingawa hana ubora unaostahili kuwa United, una Collyer kinda kabisa ambaye hana uzoefu halafu unaenda kupambana na mids za arsenal, liver, chelsea na city?Next game akizingua Bora afukuzwe,,,hii project yetu sio ya kumvumilia mtu yoyote.
Me Imani ninayo sana kwake, mipango kazi wake ni mzuri ndio maana dakika 20 za mwanzo timu inakuwa threat na Bora kabisa lakini inakata moto...anahitaji kiungo bila shaka, lakini kazi yake ni kutengeneza akili za wachezaji wajue kucheza mpira dakika 90+ na sio dakika 20 tu.Wampatie kwanza midfielder mmoja ndio tuanze kumhukumu. Imagine kiungo chako kina Casemiro pumzi inakata mapema sana, Ugarte sijawahi kumuelewa na rafu zake za kipuuzi ingawa hana ubora unaostahili kuwa United, una Collyer kinda kabisa ambaye hana uzoefu halafu unaenda kupambana na mids za arsenal, liver, chelsea na city?
Mie bado nina imani na Bwana Amorin, ila apewe Baleba au kiungo mwingine wa kaliba hiyo.
Kocha anahitaji wachezaji ambao wapo ndani ya mfumo wake nyinyi mnashindwa kumfanyie wepesi mnategemea Nini? Lingine hamna kikosi kipana hii itawagharimu sana mbeleniNext game akizingua Bora afukuzwe,,,hii project yetu sio ya kumvumilia mtu yoyote.
Mpira unaanza saa ngapi huu?Baada ya kelele nyingi leo Mainoo kaanza. Ngoja tuone pira letu “back pass”
Samahani mwenye link...naomba atumeMpira unaanza saa ngapi huu?
Leo tunashinda kuanzia goli 5+Leo mnashinda kwakua mnahitaji kuboost morale so mtakaza