Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Leo kwa mbali sana niliona tetesi za Eduardo Camavinga toka madrid kwa ada ya uhamisho £69.1. Kwa mwenye uelewa wa hii taarifa tafadhali atutie moyo kidogo maana kwenda mzigoni bila midfielder itakuwa balaa.
 
Leo kwa mbali sana niliona tetesi za Eduardo Camavinga toka madrid kwa ada ya uhamisho £69.1. Kwa mwenye uelewa wa hii taarifa tafadhali atutie moyo kidogo maana kwenda mzigoni bila midfielder itakuwa balaa.
Camavinga yule black mfaransa, kama ni huyo bora tumchukue hojlmund. Wa Lisbon mkuu ogopa sana real Madrid kumuuza mchezaji.
 
Nyie takataka hivi mnafikiri na kunya wetu atawapeleka wapi
Baada ya kusajili wachezaji mnasajili mabosi wa timu
Mchezaji mfupi kama kibwengo wanamuita mbung'o sijui
 
Wharton wa crystal palace me naona Kwa midfield anafaa sana kuliko hujlmud wa sporting cp au Angelo stiller wa Stuttgart ambao naona tuna tetesi nao.

Tunaweza kuchukua wote Wharton dirisha na baleba dirisha lijalo.

Msimu huu hatutii huruma timu imesajili kuliko tulivotarajia
 
Wharton wa crystal palace me naona Kwa midfield anafaa sana kuliko hujlmud wa sporting cp au Angelo stiller wa Stuttgart ambao naona tuna tetesi nao.

Tunaweza kuchukua wote Wharton dirisha na baleba dirisha lijalo.

Msimu huu hatutii huruma timu imesajili kuliko tulivotarajia
Are yeyote lakini sio camavinga
 
Screenshot_20250824_015734_Chrome.jpg

Breaking news.
Hela ya baleba, bruno kila la kheri chukua hela tujenge timu
 
Camavinga yule black mfaransa, kama ni huyo bora tumchukue hojlmund. Wa Lisbon mkuu ogopa sana real Madrid kumuuza mchezaji.
Hii kauli ni zaidi ya ukweli.
Madrid akikuuzia mchezaji jua huyo ameona mambo mawili,mosi amehit top level ya uwezo wake au hana potential ya maana.ila Madrid hawez kamwe kuuza mchezaji ambaye ni real potential world class au ana kiwango Cha maana.in short Madrid wanauza rejects tu
 
Back
Top Bottom