Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Majirani, hongereni kwa mchezo mzuri wa jana. Ushabiki nikiweka pembeni jana mlikua vizuri kwenye kila eneo, ata goli tulilopata ni lapapatu papatu tu

Timu mnayo, amorim ashindwe yeye tu. Unapokua na watu like cunha, mbeumo, sesko moja kwa moja watu watataka matokeo

Usajiri wenu umeonesha impact for 90%, mazee timu mnayo

Jambo ambalo arsenal ashukuru ni kumalizana na nyumbu OT kabla gari halijawaka vizuri

Cunha sesko mbeumo mkienda vizuri na hii front line bila majerui, itakua hatari sana msimu huu

Ukiona kipa ndio man of the match, ujue hali haikuwa shwari
Jifunze kuheshimu jitihada za watu, acha kusema goli la papatu papatu. Mbona wao hawajalipata kama papatu ni rahisi hivyo?

Lengo ni kufungwa, haijalishi umefungwaje. Kama ni rahisi kupapatua jiulize mbona wao hawajapapatua wakapata.

Hata pia ukisema wamebahatisha basi ujue bahati ilikuwa upande wao.
 
Majirani, hongereni kwa mchezo mzuri wa jana. Ushabiki nikiweka pembeni jana mlikua vizuri kwenye kila eneo, ata goli tulilopata ni lapapatu papatu tu

Timu mnayo, amorim ashindwe yeye tu. Unapokua na watu like cunha, mbeumo, sesko moja kwa moja watu watataka matokeo

Usajiri wenu umeonesha impact for 90%, mazee timu mnayo

Jambo ambalo arsenal ashukuru ni kumalizana na nyumbu OT kabla gari halijawaka vizuri

Cunha sesko mbeumo mkienda vizuri na hii front line bila majerui, itakua hatari sana msimu huu

Ukiona kipa ndio man of the match, ujue hali haikuwa shwari
Mkuu nilikuambia bila set pieces nyie hamshindi.
 
Tupate Darasa kidogo kutoka kwa Geoffrey lea

Kwenye mpira mfumo lazima uwape wachezaji wa kila nafasi faida kulingana na kile wanachoweza kukifanya kwa ubora katika majukumu yao, lakini pia mfumo unatakiwa kuwarahisishia wachezaji wanachofanya uwanjani na sio kufanya kazi yao kuwa ngumu zaidi!!!

Kwa sababu Amorim anaanza mechi na 6 defensive minded players tena bila point of play kwenye attack (jinsi alivyoanza bila mshambuliaji asilia) maana yake timu inawatesa sana wachezaji kama Matheus Cunha na Bruno kwa jinsi ambavyo anaanzia chini sana kama mmoja wa wachezaji wawili wa kiungo

Hizi picha 3 hapo chini zinaonyesha jinsi Cunha alivyolazimika kuanzia safari yake mbali bila Teammate Karibu ambaye wangesaidiana either pasi au kuwaoccupy mabeki na kutengeneza njia nyepesi ya kupita lakini angalia amezungukwa na wapinzani wangapi,

Matokeo yake Cunha na Mbeumo walilazimika kutumia sana uwezo binafsi kushambulia kwa sababu mfumo haujawasaidia,

Katika mfumo kama wa 4-3-3 au 4-2-3-1 mbeumo cunha na Bruno watakuwa wanaanzia karibu na goli na kuspend muda mwingi wa mechi karibu na final third, Changamoto kubwa ya Amorim ni hii hata zile nafasi za kipindi cha kwanza zilikuja kutokana na uwezo binafsi zaidi kuliko mfumo.
Tofautisha na Arsenal ambao walikuwa wakishambulia wana options mbili au tatu kwa jinsi timu ilivyopangwa, System ya Amorim haiwezi kufanya kazi kwenye EPL tena especially dhidi ya Timu ndogo ndogo ambazo zinajua kucheza kwenye low block na kushambulia kwa counter. View attachment 3445096View attachment 3445097View attachment 3445098
Kakopi na kupaste kutokea wapi huyu
 
Tupate Darasa kidogo kutoka kwa Geoffrey lea

Kwenye mpira mfumo lazima uwape wachezaji wa kila nafasi faida kulingana na kile wanachoweza kukifanya kwa ubora katika majukumu yao, lakini pia mfumo unatakiwa kuwarahisishia wachezaji wanachofanya uwanjani na sio kufanya kazi yao kuwa ngumu zaidi!!!

Kwa sababu Amorim anaanza mechi na 6 defensive minded players tena bila point of play kwenye attack (jinsi alivyoanza bila mshambuliaji asilia) maana yake timu inawatesa sana wachezaji kama Matheus Cunha na Bruno kwa jinsi ambavyo anaanzia chini sana kama mmoja wa wachezaji wawili wa kiungo

Hizi picha 3 hapo chini zinaonyesha jinsi Cunha alivyolazimika kuanzia safari yake mbali bila Teammate Karibu ambaye wangesaidiana either pasi au kuwaoccupy mabeki na kutengeneza njia nyepesi ya kupita lakini angalia amezungukwa na wapinzani wangapi,

Matokeo yake Cunha na Mbeumo walilazimika kutumia sana uwezo binafsi kushambulia kwa sababu mfumo haujawasaidia,

Katika mfumo kama wa 4-3-3 au 4-2-3-1 mbeumo cunha na Bruno watakuwa wanaanzia karibu na goli na kuspend muda mwingi wa mechi karibu na final third, Changamoto kubwa ya Amorim ni hii hata zile nafasi za kipindi cha kwanza zilikuja kutokana na uwezo binafsi zaidi kuliko mfumo.
Tofautisha na Arsenal ambao walikuwa wakishambulia wana options mbili au tatu kwa jinsi timu ilivyopangwa, System ya Amorim haiwezi kufanya kazi kwenye EPL tena especially dhidi ya Timu ndogo ndogo ambazo zinajua kucheza kwenye low block na kushambulia kwa counter. View attachment 3445096View attachment 3445097View attachment 3445098
Geoff Leah huwa ana chuki na Amorim kisa wachezaji wake anaowapenda akina Rashford kutopewa nafasi
 
Allypipi akiacha prediction zake kwa man u.
Tutakua tunashinda mechi nyingi.
Jamaaa ana gundu na prediction hasa za GGMU
 
Manyumbu team mnayo kazeni hapo hapo swala la golikipa lisiwatoe mchezoni kumbukeni hata chelsea hatuna kipa tuna pazia sanchez ila hatulalamiki.
 
1755765413657.jpg
 
Sene lammens kabla ya weekend kuisha atakuwa new goalkeeper wa man united.
Hapo tutamalizia na kiungo afu tufunge dirisha.
Ruben inabidi awe makini sasa hii back up aliyopewa na ineos imemfaa.
 
Sene lammens kabla ya weekend kuisha atakuwa new goalkeeper wa man united.
Hapo tutamalizia na kiungo afu tufunge dirisha.
Ruben inabidi awe makini sasa hii back up aliyopewa na ineos imemfaa.
Ni kweli kabisa ila eneo la kiungo ni muhimu kuliko maeneo mengi sana waliyoyaimarisha msimu huu.
Kiungo ni lazima sio kwa ujinga wa Ugarte Casemiro
 
Back
Top Bottom