Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Screenshot_20250813-191611.png
 
mkorea nilikwambia bila kutumia magoli ya set pieces kama kona basi nyie kutufunga ni vigumu sana. Hivyo niwapongeze kwa point 3 lakini niwape pole sana kwasababu mkiendelea hivi basi ubingwa kwenu msahau tena msimu huu.
 
Matter of facts united hijawahi kupata kipa bora baada ya kuondoka kwa digea, after that walioluja ni chini ya kiwango
Ukweli mtupu huu kiongozi shaolini monk(10 hag) alikua kocha wa hovyo sana yaani unamwacha kipa mzoefu tena shot stoper alafu unasajili footwork.
 
Kinachotakiwa ni kukomaa Tu, mechi ilikuwa ya kwetu kabisa. Yaani Arsenal utadhani walitoka Bar Kwanza ndo wakaja Old Trafford, kiuchezaji tuliwazidi lakini kwenye matokeo ambacho ndio muhimu zaidi wametuweka.

Tushapata funzo tayari, tuache papara , tutulie kwenye boksi magoli yatapatikana tu...Yule kipa toka msimu uliopita kwenye mipira ya Aina Ile hayuko vizuri. Lazima tupate kiungo box to box with legs, hatari niliyoiona ni kwamba tukikutana na timu zinazokimbia Sana basi soon tutamtukana Casemiro maana Combo na Bruno inaifanya timu sometimes haina balance japo hili huwezi kuliona Leo vizuri.

Wala tusiwe wanafki Leo timu ilikuwa unaona kabisa ina improvements kubwa Tu, kinachohitajika tuongeze intensity, tucheze Kwa nguvu mechi zote.
 
Ukweli mtupu huu kiongozi shaolini monk(10 hag) alikua kocha wa hovyo sana yaani unamwacha kipa mzoefu tena shot stoper alafu unasajili footwork.
Footwork yenyewe ulishawahi kuiona mkuu?😂 Kama timu haipo vizuri hata futwoku utachomesha timu tu.
 
Kinachotakiwa ni kukomaa Tu, mechi ilikuwa ya kwetu kabisa. Yaani Arsenal utadhani walitoka Bar Kwanza ndo wakaja Old Trafford, kiuchezaji tuliwazidi lakini kwenye matokeo ambacho ndio muhimu zaidi wametuweka.

Tushapata funzo tayari, tuache papara , tutulie kwenye boksi magoli yatapatikana tu...Yule kipa toka msimu uliopita kwenye mipira ya Aina Ile hayuko vizuri. Lazima tupate kiungo box to box with legs, hatari niliyoiona ni kwamba tukikutana na timu zinazokimbia Sana basi soon tutamtukana Casemiro maana Combo na Bruno inaifanya timu sometimes haina balance japo hili huwezi kuliona Leo vizuri.

Wala tusiwe wanafki Leo timu ilikuwa unaona kabisa ina improvements kubwa Tu, kinachohitajika tuongeze intensity, tucheze Kwa nguvu mechi zote.
Yule beki mwenye Rasta Kuna namna inabidi apunguze wenge mbona shaw yupo na utilivu sana akiwa na mpira
 
Back
Top Bottom