Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ukweli mtupu huu kiongozi shaolini monk(10 hag) alikua kocha wa hovyo sana yaani unamwacha kipa mzoefu tena shot stoper alafu unasajili footwork.
Footwork yenyewe ulishawahi kuiona mkuu?😂 Kama timu haipo vizuri hata futwoku utachomesha timu tu.
 
Kinachotakiwa ni kukomaa Tu, mechi ilikuwa ya kwetu kabisa. Yaani Arsenal utadhani walitoka Bar Kwanza ndo wakaja Old Trafford, kiuchezaji tuliwazidi lakini kwenye matokeo ambacho ndio muhimu zaidi wametuweka.

Tushapata funzo tayari, tuache papara , tutulie kwenye boksi magoli yatapatikana tu...Yule kipa toka msimu uliopita kwenye mipira ya Aina Ile hayuko vizuri. Lazima tupate kiungo box to box with legs, hatari niliyoiona ni kwamba tukikutana na timu zinazokimbia Sana basi soon tutamtukana Casemiro maana Combo na Bruno inaifanya timu sometimes haina balance japo hili huwezi kuliona Leo vizuri.

Wala tusiwe wanafki Leo timu ilikuwa unaona kabisa ina improvements kubwa Tu, kinachohitajika tuongeze intensity, tucheze Kwa nguvu mechi zote.
Yule beki mwenye Rasta Kuna namna inabidi apunguze wenge mbona shaw yupo na utilivu sana akiwa na mpira
 
Kinachotakiwa ni kukomaa Tu, mechi ilikuwa ya kwetu kabisa. Yaani Arsenal utadhani walitoka Bar Kwanza ndo wakaja Old Trafford, kiuchezaji tuliwazidi lakini kwenye matokeo ambacho ndio muhimu zaidi wametuweka.

Tushapata funzo tayari, tuache papara , tutulie kwenye boksi magoli yatapatikana tu...Yule kipa toka msimu uliopita kwenye mipira ya Aina Ile hayuko vizuri. Lazima tupate kiungo box to box with legs, hatari niliyoiona ni kwamba tukikutana na timu zinazokimbia Sana basi soon tutamtukana Casemiro maana Combo na Bruno inaifanya timu sometimes haina balance japo hili huwezi kuliona Leo vizuri.

Wala tusiwe wanafki Leo timu ilikuwa unaona kabisa ina improvements kubwa Tu, kinachohitajika tuongeze intensity, tucheze Kwa nguvu mechi zote.
Ni kweli kabisa mkuu Leo arsenal walikua wameingia kwenye mfumo, saivi timu inacheza na unaona kabisa kuwa kocha. Ruben ana ibadilisha timu taratibu, lakini watu wana taka yale yale ya shaolin monk 10hag. Leo unashinda kwa timu kubwa alafu kesho na kesho na keshokutwa unashenyentwa mfululizo mpaka upate tena bahati ya kushinda huku mfumo unaocheza haueleweki na hauna kikosi cha kwanza 1 chenye wachezaji wanaoelewana vizuri kwenye pitch.
 
Ni kweli kabisa mkuu Leo arsenal walikua wameingia kwenye mfumo, saivi timu inacheza na unaona kabisa kuwa kocha. Ruben ana ibadilisha timu taratibu, lakini watu wana taka yale yale ya shaolin monk 10hag. Leo unashinda kwa timu kubwa alafu kesho na kesho na keshokutwa unashenyentwa mfululizo mpaka upate tena bahati ya kushinda huku mfumo unaocheza haueleweki na hauna kikosi cha kwanza 1 chenye wachezaji wanaoelewana vizuri kwenye pitch.
Ndio Mshagongwa Sasa
 
Kwa kutumia akili ya kawaida kabisa leo hatukuwa tunaingia uwanjani kushindana na arsenal bali wengi wetu tulitaka kuona positivity kwenye kikosi chetu ukilinganisha na msimu jana. Mambo chnya leo uwanjani yalikuwa mengi sana kuliko hasi.
Kama uchezaji utakuwa huu mechi hadi mechi, basi ni suala la muda tu timu itashika momentum na wapinzani hawatakuja kizembe tena dhidi yetu.
Ugarte sijui Uruguayan wa wapi huyu jamaa, ni heri auzwe yeye tubaki na casemiro kama squad player.

Nmauombea Shaw uimara wa mwili walau acheze mechi 25 za msimu, huyu anajua sana kuzuia ujinga wa akina Saka.
Yoro kama naanza kumuelewa vile, ila Mbeumo na Cunha ni tracker wazuri sana upande wa mapana ya uwanja.

Mechi inayofuata tutaona zaidi kama timu imeamka au ni wenge la arteta boys limetuweka kwenye ramani.
 
Kwa kutumia akili ya kawaida kabisa leo hatukuwa tunaingia uwanjani kushindana na arsenal bali wengi wetu tulitaka kuona positivity kwenye kikosi chetu ukilinganisha na msimu jana. Mambo chnya leo uwanjani yalikuwa mengi sana kuliko hasi.
Kama uchezaji utakuwa huu mechi hadi mechi, basi ni suala la muda tu timu itashika momentum na wapinzani hawatakuja kizembe tena dhidi yetu.
Ugarte sijui Uruguayan wa wapi huyu jamaa, ni heri auzwe yeye tubaki na casemiro kama squad player.

Nmauombea Shaw uimara wa mwili walau acheze mechi 25 za msimu, huyu anajua sana kuzuia ujinga wa akina Saka.
Yoro kama naanza kumuelewa vile, ila Mbeumo na Cunha ni tracker wazuri sana upande wa mapana ya uwanja.

Mechi inayofuata tutaona zaidi kama timu imeamka au ni wenge la arteta boys limetuweka kwenye ramani.
Shaw ni mchezaji smart sana ana utulivu sana akiwa na mpira hana pala pala ila Yoro naona changamoto yake kubwa akiwa na mpira hasa kwenye maeneo ambaye kuna pressure anakua kama ana hofu ivi
 
Sesko alisajiliwa lini mpaka kashindwa kufunga pre season?
Sesko kaingia na Amad lakini Diallo, Ugarte kakiwasha kuliko huyu Tapeli Sesko

Yote kwa Yote Cunha ni Mtu, Kapiga on Target nyingi sana, Mbeumo na kilo zake 200 sidhani kama tutafika nalo mbali na tumbo lake kama Mfuko wa Dangote Cement.

Dorgu Ni mtu na Nusu fundi sana kwenye Upande wake,

Bruno Mnamsifia tu ila huyu kenge hajafanya lolote la maana

Yoro nae ni kama Chollo Mpemba tu , Shaw nae astaafu sasa Toka 2017 yupo tu na hakuna la maana analofanya.

Case angalau kapunguza mieleka kama Houjlund na kadi zisizo za Muhimu

Raya Ni Kipa na nusu, Moja ya karata nimeikubali ni Amorim kutomshoboke Grykokoze kwenye usajili kumbe alikua anamjua vizuri ni galasa Halijafanya Maajabu yoyote Aisee nawaza ndo wangemsajili Man U sijui ingekuaje bora hawa kina Cunha wanafika na kutisha golini

Yote kwa yote Game nzuri Timu ime Improve sana bado huyo Baleba tu tuondoke pale kati
 
Mashabiki wa Man U mlianza kunenepa

Sasa mateso yamerudi palepale ni muda wakukata wese mwilini🤣🤣🤣🤣
 
Nyie takataka mnakamia mechi ili mfungwe moja bila mfurahi ?
Arsenal miaka yote akishinda old Trafford anashindaga moja bila kwa hiyo nyinyi bado ni takataka tu msijifariji hapo nilikuwa napiga show za mkwezi
Njooni geto niwapige mridhike
Manjesta ni mwali wa kizaramo ukimpiga kimoja anatangaza mtaa mzima mwanaume hana nguvu za kiume
 
Nyie takataka mnakamia mechi ili mfungwe moja bila mfurahi ?
Arsenal miaka yote akishinda old Trafford anashindaga moja bila kwa hiyo nyinyi bado ni takataka tu msijifariji hapo nilikuwa napiga show za mkwezi
Njooni geto niwapige mridhike
Manjesta ni mwali wa kizaramo ukimpiga kimoja anatangaza mtaa mzima mwanaume hana nguvu za kiume
Ukweli mchungu huu.
 
Back
Top Bottom