Andromeda Galaxy
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 5,442
- 6,980
Moja ziro
Tumecheza vizuri lakini tumeshindwa kutumia nafasi za wazi.
Ni first match jmn, wape mudaTumecheza vizuri lakini tumeshindwa kutumia nafasi za wazi.
Matter of facts united hijawahi kupata kipa bora baada ya kuondoka kwa digea, after that walioluja ni chini ya kiwangoHii mechi imeamuliwa na ubora wa kipa wa arsenal na ubovu wa kipa wa man u. Kiukweli utd haijawahi kuwa na kia wa bovu kama waliopo sasa.
Kuna moja ile kageuka na mpira juu jamaa ni mtu sema awa Arsenal ni wale wale wakugombea top four hawana jipyaCuhna 🙌 top player kwakweli ila kocha nae sometimes dah.
Ukweli mtupu huu kiongozi shaolini monk(10 hag) alikua kocha wa hovyo sana yaani unamwacha kipa mzoefu tena shot stoper alafu unasajili footwork.Matter of facts united hijawahi kupata kipa bora baada ya kuondoka kwa digea, after that walioluja ni chini ya kiwango
Ten hug alimake tactical mistake ya karne , kwa kutaka digea kundoka huku hana replacement sahihiUkweli mtupu huu kiongozi shaolini monk(10 hag) alikua kocha wa hovyo sana yaani unamwacha kipa mzoefu tena shot stoper alafu unasajili footwork.
Ndio hivyo kiongoziTen hug alimake tactical mistake ya karne , kwa kutaka digea kundoka huku hana replacement sahihi
Ukweli mtupu huu kiongozi shaolini monk(10 hag) alikua kocha wa hovyo sana yaani unamwacha kipa mzoefu tena shot stoper alafu unasajili footwork.
Yule beki mwenye Rasta Kuna namna inabidi apunguze wenge mbona shaw yupo na utilivu sana akiwa na mpiraKinachotakiwa ni kukomaa Tu, mechi ilikuwa ya kwetu kabisa. Yaani Arsenal utadhani walitoka Bar Kwanza ndo wakaja Old Trafford, kiuchezaji tuliwazidi lakini kwenye matokeo ambacho ndio muhimu zaidi wametuweka.
Tushapata funzo tayari, tuache papara , tutulie kwenye boksi magoli yatapatikana tu...Yule kipa toka msimu uliopita kwenye mipira ya Aina Ile hayuko vizuri. Lazima tupate kiungo box to box with legs, hatari niliyoiona ni kwamba tukikutana na timu zinazokimbia Sana basi soon tutamtukana Casemiro maana Combo na Bruno inaifanya timu sometimes haina balance japo hili huwezi kuliona Leo vizuri.
Wala tusiwe wanafki Leo timu ilikuwa unaona kabisa ina improvements kubwa Tu, kinachohitajika tuongeze intensity, tucheze Kwa nguvu mechi zote.